Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,409
- 102,313
Pacha Kumbuka SI Ni familia😂🤣😂🤣Kwendraaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pacha Kumbuka SI Ni familia😂🤣😂🤣Kwendraaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]na ile baridi ya njombe yanaingia huku yanatokea huku
[emoji1787][emoji1787] [emoji1787]
Dada wa maokoto
Sema tuna jikubali, zaidi ya Elon musk🤣😂sura personal tunateseka sana😂
Napita tu🤣😂🤣😂😂😂Tulia kwanza nisome chat za kundi la Alshabab lilotaka kupindua selfika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ka Toto 🤣😁Ngoja ni left kwenye huu uzi nimechoka kudanganywa 😬😬🤨🏃🏿♀️
We hebu niache urafiki umesha kufa 😬😬Ka Toto 🤣😁
Kumbeeee?? [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli, siwezi kukuchukia tu wewe bila sababu, lazima kuwe na sababu,
Duuuuh!!! HatariiiiHumu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!
Bhana nawe,mie niliunga tela tu hapo[emoji16]Kumbeeee?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hina lolote selfikapakitulia uniite nije niselfike😅
CocaDuuuuh!!! Hatariiii
pita pita huko juu labda haijafutika😂Hina lolote selfika
Imekula kwakoMama mtumishiiii, mbna sijaonaa jamaniii.
Hebu nipee zawadii hizoo. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Kimewakaaaaaaa!!!! [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Imekua too much humu!! Shida ni kuingilia yasiyokuhusu na kunikomalia kama nawe tumeshea bwana vile!! Hao wanawake zako chanzo inasemekana niyule bwana! Haya wewe umesema nawachafua Naomba uniambie nawachafuaje???
Ulikua unaniita mchawi kwa kukurupuka tu bila kutumia akili sasa ngoja nikuoneshe mchawi na wengine ni watu wazima humu watajia mchawi nani hapa!!
Wait hapohapooo Usitoke!!
Duh nishapitwapita pita huko juu labda haijafutika😂
Napita tu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]