Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mchawi wakwanza huyuu hapa alikili mwenyewe kunifatilia kila kilicho changu humuu !
Unaeza kuona hadi kanitaja kabisa....

Umeona alichosema hapo kwamba mimi naonea Wivu kapo za jamaaa na wakati huo unajua alikua anatrend nanani humu???

Turiaaaa hapohapooo sijamalizaa

Mods hii ni ya hapahapaa jukwaani pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Makubwaaaaa tenaaaa!!
 
Vya kazi ni kazi vya umbeya ni umbeya sana . Tu niambie
Sawa unakula bata
Kula bata ila deni langu hunilipi aah uhmm
We unakula raha
Ni nina njaa kale kadeni kangu hunilipi aaah
Aaah aaah kuna kesho
Ujue unaniburuga yelelee
We si unanivuruga sawa
Ujue unaniconfuse yelelee
Acha tu nile bati sawa

Sisi sio milima tutakufana
Sisi ni people tutaonana
Si sio visima tutasomana
Tukiwa kama people kitaumana umana

Intelligent businessman 😅😅😅
 
Back
Top Bottom