Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

unacho ona kinaendelea humu, ni matokeo ya watu kuchukiana. Watu humu wa akili sana na wanajua kila wanachofanya. Ulanzi upo ?
Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!
Usipende kuingilia vitu usivyokua na uhakika navyo ailimradi watu wamekujaza maneno tu huko wewe unakurupuka!!

Jana uliniambia mie nawachawia nawachafua watu humu Naomba uniambie nilichowafanya hao watu wako! Hilo tu
 
Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!
Usipende kuingilia vitu usivyokua na uhakika navyo ailimradi watu wamekujaza maneno tu huko wewe unakurupuka!!

Jana uliniambia mie nawachawia nawachafua watu humu Naomba uniambie nilichowafanya ! Hilo tu
Kweli, siwezi kukuchukia tu wewe bila sababu, lazima kuwe na sababu,
 
Kweli, siwezi kukuchukia tu wewe bila sababu, lazima kuwe na sababu,
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!
 
1000111986.jpg
 
Humu ishajulikana sababu ni kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!
Kumbe shida ndo hiyo, kwa mfano tukiongeza hiyo miti iwe yakutosha, isiwe ya kushare tena hili tatizo litaisha humu ???
 
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!
Aisee,pole sana,
 
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!

Kwahyo sisi vibamia hamtutaki ehh
 
Back
Top Bottom