National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
Ndiyo....kuna watu wanapenda sifa tu.
Hamna udukuaji..wanatangaziana..
😅😅😅😅
Ndiyo....kuna watu wanapenda sifa tu.
Hamna udukuaji..wanatangaziana..
sawa boss yangu, acha niingie chimbo nimalize kazi .. usiku tule shereheSitaki yule demu fanya mpango
Poassawa boss yangu, acha niingie chimbo nimalize kazi .. usiku tule sherehe
Ok,sema ujinga mwingi,Ni kweli, huo ni msimamo wangu binafsi.. na wala sipingi wanao date na kuwa na mahusiano.. ni life style tu


Sio sifa ni ushamba jirani.Ndiyo....kuna watu wanapenda sifa tu.
sio ujinga hata, ni chuki tuOk,sema ujinga mwingi,
![]()
Chuki kivipi??sio ujinga hata, ni chuki tu
unacho ona kinaendelea humu, ni matokeo ya watu kuchukiana. Watu humu wa akili sana na wanajua kila wanachofanya. Ulanzi upo ?Chuki kivipi??
Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!unacho ona kinaendelea humu, ni matokeo ya watu kuchukiana. Watu humu wa akili sana na wanajua kila wanachofanya. Ulanzi upo ?
Ni hatari tupu,unacho ona kinaendelea humu, ni matokeo ya watu kuchukiana. Watu humu wa akili sana na wanajua kila wanachofanya. Ulanzi upo ?
Kweli, siwezi kukuchukia tu wewe bila sababu, lazima kuwe na sababu,Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!
Usipende kuingilia vitu usivyokua na uhakika navyo ailimradi watu wamekujaza maneno tu huko wewe unakurupuka!!
Jana uliniambia mie nawachawia nawachafua watu humu Naomba uniambie nilichowafanya ! Hilo tu
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????Kweli, siwezi kukuchukia tu wewe bila sababu, lazima kuwe na sababu,
Nili Iona Kaka.Hyundai
Kumbe shida ndo hiyo, kwa mfano tukiongeza hiyo miti iwe yakutosha, isiwe ya kushare tena hili tatizo litaisha humu ???Humu ishajulikana sababu ni kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!


Aisee,pole sana,Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!
Si mtaongeza tatizo,maana___Kumbe shida ndo hiyo, kwa mfano tukiongeza hiyo miti iwe yakutosha, isiwe ya kushare tena hili tatizo litaisha humu ???![]()
Humu ishajulikana sababu ni mambo ya kushea mi bolouuuu sasa najiuliza niwachafue kwakipi hasa na kila kitu kilikua wazi humu hakuna asiejua ile skendo??? Kwamba mpaka waleo mie nawachafua nawachafua kivepeee yani????
Hiki ndicho ninachotaka kufahamu hasa kutoka kahuyo mwanahabari na msemaji wao mkuu!