Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,944
- 177,160
Ahaa sawasawa limeisha hilooo!Kinachokukasirisha kitakutawala
Ahaa sawasawa limeisha hilooo!Kinachokukasirisha kitakutawala
Natamani kusema na mm nitumieHakuna kusamehe wambea tutakosa cha kujadili!! Udugu Antonnia kabla ya kusamehe nitumie pic za aliyebong’oka kwanza!!!
Hivi Kantri unajua kuna pic ya mtu kavaa bikiniafu kubong’oka???
![]()

No hapo ndo kabisaBasi hatutazima taa. Na ukiogopa zaidi mi ntalala chini we ulale kitandani.
Ahaa sawasawa limeisha hilooo!

"watu wakweli hueleweka kirahisi"







Selfika kwanza usiku Wangu uende furesh uduguuu!Wewe Koffi Annan wa mchongo emu tuache tupate udambu dambu wenzio
Wewe yako yanakushinda ujue?? Tuna miezi 4 sisikii hata kichefuchefu nakuangalia tu!!!![]()
Nawapata sema hawachelewi kugeuka ‘x’ dadeq ni mivuragano tyuuu![]()


walikua wanakuchanganya tuWewe Koffi Annan wa mchongo emu tuache tupate udambu dambu wenzio
Wewe yako yanakushinda ujue?? Tuna miezi 4 sisikii hata kichefuchefu nakuangalia tu!!!![]()


Duh..Una kifua kizur mama mchungaji![]()
YaaniUtawezaa na Kuwa sawa
Japo ni ngumu ila Mungu kama jina lake Jehovah Jireh , he will surely provide .
Mimi nimekaa kiubishi mwanzoni na nimeweza , hakuna kigumu chini ya jua .
You just have to set your mind
Budget pia muhimu
Pia kuridhika , kama huwezi kuafford kitu unakiacha .




PoleniNi upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Kama wamekosa malezi.
Kila siku kutupiana vijembe.
Wanatudhalilisha wanawake wenzao.
Kama Vipi wazazi, waende kwa wazazi wao😂🤣
SawasawaTuendelee kuselfika jamani
Maisha ni hayahayaView attachment 2728314
Ndio😬Niku oneshe gumba😁
🤣🤣Na upo addictive sana 😀
🤣🤣hapana mkuu ni maombi DP WORLD WASIJE TANZANIA KBSA
Niki mtaka, najua pa kumpata.
Hata yeye ana jua Hilo,



