Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Wewe upo vizuri hujaamua tu

Wewe upo vizuri hujaamua tu

Nakutania usipaniki 😁Umeanza kuvuta mi shisha eh🙄🤔
Sija oa Mimi, na sitarajii kuoa kwa sasa.🤒Msibani ulienda ukweni kwa mkeo![]()
Nishasamehee muda sana!Mbona bado hujasamehe?




Kwani nili kasirika hata😁Nakutania usipaniki 😁
Kungwi mishisha labda😁🤔🙄Makungwi wa kweli wanapatikana Pwani tyuuu!! Hao wengine wa michongo![]()
Ni ya nani?Hakuna kusamehe wambea tutakosa cha kujadili!! Udugu Antonnia kabla ya kusamehe nitumie pic za aliyebong’oka kwanza!!!
Hivi Kantri unajua kuna pic ya mtu kavaa bikiniafu kubong’oka???
![]()
Wewe upo vizuri hujaamua tu![]()




Ndio😬Kwani nili kasirika hata😁
Bado.Nishasamehee muda sana!
Sija oa Mimi, na sitarajii kuoa kwa sasa.![]()



Nije kulala huko leo? Maana huku kwetu kuna baridi sana. Ntakubebea ka wine.Siwezi kushare mie , napenda me time .
Siee wanawake tuna maneno sana .
Nilikula school fees mwenzio afu class me ni wale tunakaa back benchers kazi yetu kusogoa umbea na kumjadili ticha wa history anamsema zinja wakati yeye mwenyewe ni zinja aliyechangamka![]()


mambo ya maths tafuta thamani ya "y", hadi leo y hujampataMie nimemaliza mkuu!Bado.
pakitulia uniite nije niselfike😅Weka yako![]()
Nipo wanguWii upo?
Vipi Baba alifundisha vitu gani huko Dodoma?