Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe shida ndo hiyo, kwa mfano tukiongeza hiyo miti iwe yakutosha, isiwe ya kushare tena hili tatizo litaisha humu ???
Hapana mkuu kwangu hio ilishapita muda mrefu sana nashangaa mpaka sasa huu ujinga unaendelea na kuendelea kunichafua humu tena wananichafua na kunitag kabisa! Vitu anaongea mwingine nahusishwa Antonnia!
 
Hapana mkuu kwangu hio ilishapita muda mrefu sana nashangaa mpaka sasa huu ujinga unaendelea na kuendelea kunichafua humu tena wananichafua na kunitag kabisa! Vitu anaongea mwingine nahusishwa Antonnia!
Nini kilishapita dada, mimi hata sielewi kwakweli! Hiyo txt yako ndo imenipa mwangaza wa tatizo lililotokea humu mpaka kijiwe kikavurugika.
 
Unamchukia mtu bila sababu???? Lazima kutakua na chanzo!!!
Usipende kuingilia vitu usivyokua na uhakika navyo ailimradi watu wamekujaza maneno tu huko wewe unakurupuka!!

Jana uliniambia mie nawachawia nawachafua watu humu Naomba uniambie nilichowafanya hao watu wako! Hilo tu
Screenshot_20230825-105257.png
 
Nini kilishapita dada, mimi hata sielewi kwakweli! Hiyo txt yako ndo imenipa mwangaza wa tatizo lililotokea humu mpaka kijiwe kikavurugika.
Mambo ni mengii sana yanii weee pitia post za nyuma usichoke utaelewa vizuri kwa kuanzia anzia hapa !! Hii ni post kutoka kwa National Anthem!! Akiniongelea mimi!!
 
Mambo ni mengii sana yanii weee pitia post za nyuma usichoke utaelewa vizuri kwa kuanzia anzia hapa !! Hii ni post kutoka kwa National Anthem!! Akiniongelea mimi!!
Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
 
Back
Top Bottom