Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

karibu....
Kuna jamaa alikuwa hajawahi kula tunda kimasihara, sasa akaenda kwa mganga wa kienyeji ili amfundishe na kumpa mbinu za namna ya kula tunda.
Sasa Mganga akamwambia kwanza kabisa aje na pisi kali, jamaa akaleta pisi kali, Mganga akamuambia vueni nguo wote, haya kijana panda hapo juu, haya chomeka mzigo. Jamaa akachomeka.

MGANGA: Sasa kijana nikipiga ngoma unachomeka, nikipiga tena unachomoa sawa?

KIJANA: Sawa mganga.

MGANGA: Kijana hakikisha unaendana na mdundo wa ngoma usikosee hata kidogo.

KIJANA: Sawa Mganga.

mganga akaanza kupiga ngoma akipiga jamaa anachomeka, akipiga jamaa anachomoa, jamaa aliponogewa akapiga kelele akisema "Mganga ongeza spidi, ongeza spidi mganga"

MGANGA: Kijana usinifundishe kazi.
KIJANA: Mganga nakuomba ongeza spidi ya kupiga ngoma.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kuna jamaa alikuwa hajawahi kula tunda kimasihara, sasa akaenda kwa mganga wa kienyeji ili amfundishe na kumpa mbinu za namna ya kula tunda.
Sasa Mganga akamwambia kwanza kabisa aje na pisi kali, jamaa akaleta pisi kali, Mganga akamuambia vueni nguo wote, haya kijana panda hapo juu, haya chomeka mzigo. Jamaa akachomeka.

MGANGA: Sasa kijana nikipiga ngoma unachomeka, nikipiga tena unachomoa sawa?

KIJANA: Sawa mganga.

MGANGA: Kijana hakikisha unaendana na mdundo wa ngoma usikosee hata kidogo.

KIJANA: Sawa Mganga.

mganga akaanza kupiga ngoma akipiga jamaa anachomeka, akipiga jamaa anachomoa, jamaa aliponogewa akapiga kelele akisema "Mganga ongeza spidi, ongeza spidi mganga"

MGANGA: Kijana usinifundishe kazi.
KIJANA: Mganga nakuomba ongeza spidi ya kupiga ngoma.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
ntakulaje lishangazi wakati hata ku approach siwezi🤣
 
Back
Top Bottom