mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,934
vumilia tu hamna namnaAsante, usingizi hamna. Sijalala hii siku ya pili sasa, natakiwa kusafiri saa 10 hapa.
vumilia tu hamna namnaAsante, usingizi hamna. Sijalala hii siku ya pili sasa, natakiwa kusafiri saa 10 hapa.
ms eyes yupo?niambie na mia moja wengine😂
yupo humuoni?ms eyes yupo?
Hujapata lishangazi?yupo humuoni?
bado aisee sijui nakwama wapiHujapata lishangazi?
Pole Sana aisee🤒😪nimepata msiba😒
Kanunue mafuta na maji kwa Mwamposa kijana, mishangazi humu mingi.bado aisee sijui nakwama wapi
sina ujuzi nahitaji mentorKanunue mafuta na maji kwa Mwamposa kijana, mishangazi humu mingi.
Haya masuala hayana mentor, nikupe story moja very funny?sina ujuzi nahitaji mentor
We hebu lala acha kutujazia server, ebo!!
karibu....Haya masuala hayana mentor, nikupe story moja very funny?
Kuna jamaa alikuwa hajawahi kula tunda kimasihara, sasa akaenda kwa mganga wa kienyeji ili amfundishe na kumpa mbinu za namna ya kula tunda.karibu....
ntakulaje lishangazi wakati hata ku approach siwezi🤣Kuna jamaa alikuwa hajawahi kula tunda kimasihara, sasa akaenda kwa mganga wa kienyeji ili amfundishe na kumpa mbinu za namna ya kula tunda.
Sasa Mganga akamwambia kwanza kabisa aje na pisi kali, jamaa akaleta pisi kali, Mganga akamuambia vueni nguo wote, haya kijana panda hapo juu, haya chomeka mzigo. Jamaa akachomeka.
MGANGA: Sasa kijana nikipiga ngoma unachomeka, nikipiga tena unachomoa sawa?
KIJANA: Sawa mganga.
MGANGA: Kijana hakikisha unaendana na mdundo wa ngoma usikosee hata kidogo.
KIJANA: Sawa Mganga.
mganga akaanza kupiga ngoma akipiga jamaa anachomeka, akipiga jamaa anachomoa, jamaa aliponogewa akapiga kelele akisema "Mganga ongeza spidi, ongeza spidi mganga"
MGANGA: Kijana usinifundishe kazi.
KIJANA: Mganga nakuomba ongeza spidi ya kupiga ngoma.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nikupe mbinu za kutongoza?ntakulaje lishangazi wakati hata ku approach siwezi🤣
enhe😂Nikupe mbinu za kutongoza?
Ngoja kesho nitakuonesha kwa mfano.enhe😂
Pole sana Ms eyesnimepata msiba😒
goja nikajenge taifa taifa, kwanza.. wengine hatujui kusema uweongo..Aisee,kumbe kweli ,
Kwahiyo yale ma pdf ya watu ni yana ukweli??![]()