Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,000
- 95,481
Hamna kitu hapo, zaidi ya kukaa uchi🤒🤔Shemeji yako anakupa Hi 😒😒😒😒View attachment 2727657
Hamna kitu hapo, zaidi ya kukaa uchi🤒🤔Shemeji yako anakupa Hi 😒😒😒😒View attachment 2727657
siku hizi sio ajabu, wanasema ni fashiiooooon!!! Kwa sauti ya Deo wa Nirvana




Kuondoka Nami ukubali kuondoka hapa daima....unaweza?😒😒😒😒 unanichaje , nisubiri twende wotee
Kwenye pesa sawa?Me mkinga km mzaramo dadeq, ukitaka maendeleo karibu ukinga
Tunajua mapenzi mpk kutafuta pesa![]()
nyokoooo wee, uduguuu kita kukuta kitu, wee hayaa tyuuh.





wakamuwekee kwenye maji anukie kidogoKwenye pesa sawa?
Uko kwengine yaliyomo yamo kweli




😅😅😅😅 ulale unono BroHamna kitu hapo, zaidi ya kukaa uchi🤒🤔
Izoo pigo Nilikua nazifanya sana pindi naishi mapambano hapo😅😅😅😅 leo alhamisi..!
itabidi nitulie shemeji nae afaidi 😅😅😅.. wanatuvumilia sana hawa warembo wetu.. usije damka asubuhi sana kumalizia mipira iliyokosa wamaliziaji
kweli kuanzia leo ndio mwisho wangu.. niliingia huku mala moko tu 😅😅Kuondoka Nami ukubali kuondoka hapa daima....unaweza?
Wivu naona mimiMuulize Kantri![]()
😅😅😅😅 Jumatatu unatambaaaa... unarukaaa hewani na vitu vyakoIzoo pigo Nilikua nazifanya sana pindi naishi mapambano hapo
Na kingine Nilikua napenda ibuka Sana jtatu maana huwa ku medoda na kina national mmekua mmejichokea na heka heka za wkend
Mzee nilikua na timing nzuri usipime #jumatatu na jnne.😅😅😅😅 Jumatatu unatambaaaa... unarukaaa hewani na vitu vyako
mie nilihamiaga kabisa na hotelin, mipira mingine naidakia hapo hapo.. chimbo la Blue bird unaelewa hatari yake tally katubu sana mle😅😅😅Mzee nilikua na timing nzuri usipime #jumatatu na jnne.
Wivu naona mimi



Pole sana 


Wewe ulishindikanamie nilihamiaga kabisa na hotelin, mipira mingine naidakia hapo hapo.. chimbo la Blue bird unaelewa hatari yake tally katubu sana mle😅😅😅
Haha ila nyinyi wenye madoido ujue mara nyingi Ni sifuri kabisa.Pole sana
Me nina mixer ya makabila mpk sio poa hivyo hiyo kitu ni sekta yangu pendwa sijawahi kufail ni KAMPA KAMPA TENA![]()
Ujanaa tu mzeee.. unakuta mahela yanakuja ovyo ovyoo.. unaishia kuwapasua tu.. 😅😅😅😅Wewe ulishindikana
Napika mzee🤣🤣🤒😅😅😅😅 ulale unono BroView attachment 2727660
Haha ila nyinyi wenye madoido ujue mara nyingi Ni sifuri kabisa.






