Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nyokoooo wee, uduguuu kita kukuta kitu, wee hayaa tyuuh.

Mkinga hatishiki si nimekwambia wewe toka jana?? Alikuwepo Kantri kaamua kutangaza uchumba na uzi juu!!!

Sembuse kina Babu migambuti!!! Sema babu kanyata jamani, wanaomdate nawapa maua rose wakamuwekee kwenye maji anukie kidogo
 
Hamna kitu hapo, zaidi ya kukaa uchi🤒🤔
😅😅😅😅 ulale unono Bro
Screenshot_20230824-220500.png
 
😅😅😅😅 leo alhamisi..!
itabidi nitulie shemeji nae afaidi 😅😅😅.. wanatuvumilia sana hawa warembo wetu.. usije damka asubuhi sana kumalizia mipira iliyokosa wamaliziaji
Izoo pigo Nilikua nazifanya sana pindi naishi mapambano hapo

Na kingine Nilikua napenda ibuka Sana jtatu maana huwa ku medoda na kina national mmekua mmejichokea na heka heka za wkend
 
Back
Top Bottom