- Aug 6, 2009
- 2,213
- 1,196
Nani kachukua umiliki wa ID ya mwingine?Hili suala Mhariri, Cookie, na Maxence Melo Ina bidi wali angalie.
👉 Kwasababu haiwezekani mtu achukue umiliki wa I'd yako, bila ridhaa yako mwenyewe.
Nani kachukua umiliki wa ID ya mwingine?Hili suala Mhariri, Cookie, na Maxence Melo Ina bidi wali angalie.
👉 Kwasababu haiwezekani mtu achukue umiliki wa I'd yako, bila ridhaa yako mwenyewe.
ACha hizo bhana😁😂Eeh bado ni new member yaani ngoja nizoeee uzi wenu huuu wa picha 😀😀
mwanaume mwenye maneno mengi hua haogopwi🤣Ko humuogopi??![]()
Thank youPole sana uncle!
Watu wengine wabaya sana, wanapenda kutaabisha wengine tu.. Report kwa mod, asije tumia ID hiyo vibaya ukaonekana ni wewe..
C.c Maxence Melo
C.c Active
Kuna mtaalamu huko kaiba ID ya mtu, lakini pia anadai anasoma PM za watu humu
mwanaume mwenye maneno mengi hua haogopwi![]()




aje tu sijabishana nae siku nyingi🤣Mshamba Kantri yupo anakuzoom ujue!!? Usije kusema sijakwambia oohoo!!
Unamjua lkn mchugga mwenzio akili zake
Na huu uzi sina hamu nao yaaniACha hizo bhana😁😂
Aisee,kumbe kweli ,hatusemi uwongo.. una jambo mfate anaingilia PM ya mtu bila shida anakupa pdf lako

Uli ahidi ujue🤔🙉Aisee,kumbe kweli ,
Kwahiyo yale ma pdf ya watu fulani ni ya kweli![]()
Mhh!Cookie victim mwenyewe Ni huyu, niliye mquote.
Ita kuwa vyema zaidi, Tinsley uje useme Sasa.Mhh!
Inabidi tuwasiliane na huyo mlalamikaji kwanza
Sio KweliHivi ni kweli mnasomaga msg zetu piem![]()