Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio hazigandishi tu ni waongo wachonganishi wanaume kama waanwake na wanawake wamechoka hawana kazi wamebaki kuwapigia wenzao majungu Tu
Hawajielewi😂😂😂
Ngoja nilale jana nilikesha
Unalalaje file lako likishushwa nikuwakilishe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaijuaa badoo, utaijuaa tyuuh.
 

Kwanza hata si wa kwangu kuna mtu namuazima wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilichokiona humu wengi tumeathirika na kupenda chini na upande wa privacy zero
Na humu mwanaume ukimkataa anakuundia tume na chuki juu, kuna watu hawajui kukataliwa!!! Jamani haya mambo yanaenda na kufanana tabia

Me mcharuko siwezi kupata mtu aliyepoa lazima nimpate mtu km Mpwayungu ndio tunaenda sawa, wote tumevurugwa yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maelezo nimeyatoa sana, unajua sijui nisemaje labda wao kina depal na darlin waseme kama tunajuana.

Ni huyu dogo ndio naamini alikua akikuambia huu ujinga na uongo toka zamani kwa fake id

Sijui alifikiria nn.

Kwanza me demu wako kweli kwan?? Wewe kula raha makesure unavunja record ya miongozo [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…