Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sikuwahi kuzifumania habari za kunihusu, isipokuwa leo.

Ila Vijana wajifunze kuwa na siri.

Mbona Sisi wazee tumeweza kutunza, imagine Babu yenu nilikuwa nafanya kazi kwenye Serikali ya wakoloni miaka ile lakini habari ya Kudai Uhuru wa Nchi wazungu wamekuja kuijua tayari tumepandisha Bendera Mlima Kilimanjaro.

Vijana wa sasa si wangemwambia Mzungu siku hiyo hiyo kuwa Wenye Tanganyika wanadai Uhuru wao 🤪
Hata mie Nina files kibao humu tena za muda mrefu sana na za watu kibao!! Nashukuru Mungu sinaga huo muda ndiokwanza nacheka hadi na haoohaoo watu ambao unakuta anaenda kunipondea kujungua na kwa majina kabisa sinaga mudaaaaa!! Hao vijanaaaaa wenu babu 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮!!
 
Supastaa my Asssss 😂😂 🤠🤠🤠🤠🤠🤠😊😊😊!

Sasa mtu mambo ya miaka 47 huko bado naandamwa mpaka leo mimi mbona wenzangu hawaandamwi na walikua wanaweka mahusiano yao wazi pia who Am I????
Nina nini cha ziada ??? 😁😁🤠🤠🤠🤣🤣!!
Wanipumzishe kwakweli!
Hili tena la Grah mbona kuna jingine nilisikia kumuhusu Huyohuyo Grahams?
Na wengine kibao humu ??? humu kwanini wanitaje Mie tyuuuu????

Nyiee 🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺

Jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺🕺!

Kusanyeni mafile yenu vizuri muwe na data kamilii na sio za kupika!!
Kwa kweli
 
Back
Top Bottom