Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
😀😀😀Tupate Tangazo kutoka kwa wadhamini wetu🤨View attachment 2724341
😀😀😀Tupate Tangazo kutoka kwa wadhamini wetu🤨View attachment 2724341
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu 😀 kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn 😂😂😂😂 tatizo nyotraaa
😀😀huna nyota nyeusi😂Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!
Yani humu watu wana matatizo makubwa!!
Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!
Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!
Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🙇🙇!!
ngoja nitafute kama kuna file lako😂For real, nimeshindwa kuelewa mnapataje hizo PDF na mimi nijionee.
Hvi hujui leo wewe nikuku wetu mtamu yammy goody nimeandaa kachumbari tunakukula aliveOyaaa Nime umia Sana😁, hivi hamna aliye pewa mtambo was mirembe Unique Flower 😁🤣
👉 Nuzulati, Aaliyyah hamja sikia🤣😁 huko🤐
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee🤨Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!
Yani humu watu wana matatizo makubwa!!
Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!
Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!
Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🙇🙇!!
Ni kweli hana kitu sasa labda nichukue vitu vya ndani maana ngozi yake ni mbaya siunajua ameungua na jua sana huku akisaka mademu😅😅😅😅 ubongo wake mbona hauna kitu
Nashangaa 😅😅😅Nimekuona
😅😅😅😅.. vipi leo tunapaa kuelekea wapiNi kweli hana kitu sasa labda nichukue vitu vya ndani maana ngozi yake ni mbaya siunajua ameungua na jua sana huku akisaka mademu
Mafushooo mdogo wangu nitafutie mafushooooo imekua too much!!😀😀huna nyota nyeusi😂
Shangaaa nawewe dear!!Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee🤨
Jamanialafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa..uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..






Wakuache upumue kipenzi 😍Shangaaa nawewe dear!!
Ule msururu wote naeonekana ni mimi tu????? Eti Kwamba Mie bado namng'ang'ania bado nampenda bwahahahahahahahahah!!
Ebu ncheke kwanzaaa 🤣🤣🤣🤭🤭!!
Hebuu msinitafutie matatizo mie make nishaonekana mie ndio namuongelea negatives humu wakati kutwa kunihusisha nae list ipo kubwa husisheni na Wengine pulllllllliiiiiiiiizzzzz🙌🙌🙌🙌!
Mie hata sijareee yaniii ndio kwanzaaaaa🕺🕺🕺🕺🤸🤸!!Wakuache upumue kipenzi 😍
Mie hata sijareee yaniii ndio kwanzaaaaa!!
Nipo nimekaa paleeee!!
Ngoja niwajibike hapaaaa panapo majaaliwa Kesho wapendwaaa!!
Wakuache upumue kipenzi![]()
Selfika mlongoHapa
Kazi mnayo kwakweli,
Kazi mnayo,,,,,,,,watu mafriji yenu hayagandishi.
Niwe na mubebez humu afu nitaniane taniane nae wazi hivi kama navokutania babu nimerogwa????
Waje waniibie humu wasivo na dogo???? thubutruuuuuuu!!!
Sitorudia trena huo ujinga wa mahusiano humukwanza napambana nahare yanguuu tyuuu nina furaha saiiii hekaheka zenyuuuu!!


