Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu 😀 kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn 😂😂😂😂 tatizo nyotraaa
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!

Yani humu watu wana matatizo makubwa!!

Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!

Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!


Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🙇🙇!!
 
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!

Yani humu watu wana matatizo makubwa!!

Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!

Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!


Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🙇🙇!!
😀😀huna nyota nyeusi😂
 
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠!!

Yani humu watu wana matatizo makubwa!!

Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!

Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!


Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🙇🙇!!
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee🤨
 
Nimekuona
Nashangaa 😅😅😅
Screenshot_20230821-192225.png
 
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee🤨
Shangaaa nawewe dear!!
Ule msururu wote naeonekana ni mimi tu????? Eti Kwamba Mie bado namng'ang'ania bado nampenda bwahahahahahahahahah!!
Ebu ncheke kwanzaaa 🤣🤣🤣🤭🤭!!

Hebuu msinitafutie matatizo mie make nishaonekana mie ndio namuongelea negatives humu wakati kutwa kunihusisha nae list ipo kubwa husisheni na Wengine pulllllllliiiiiiiiizzzzz🙌🙌🙌🙌!
 
alafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Jamani
 
Shangaaa nawewe dear!!
Ule msururu wote naeonekana ni mimi tu????? Eti Kwamba Mie bado namng'ang'ania bado nampenda bwahahahahahahahahah!!
Ebu ncheke kwanzaaa 🤣🤣🤣🤭🤭!!

Hebuu msinitafutie matatizo mie make nishaonekana mie ndio namuongelea negatives humu wakati kutwa kunihusisha nae list ipo kubwa husisheni na Wengine pulllllllliiiiiiiiizzzzz🙌🙌🙌🙌!
Wakuache upumue kipenzi 😍
 
Niwe na mubebez humu afu nitaniane taniane nae wazi hivi kama navokutania babu nimerogwa??? ?


Waje waniibie humu wasivo na dogo???? thubutruuuuuuu!!!
Sitorudia trena huo ujinga wa mahusiano humukwanza napambana nahare yanguuu tyuuu nina furaha saiiii hekaheka zenyuuuu!!

Ko walikuibia humu?
 
Back
Top Bottom