CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Je una makasiriko?
, Je unapanick utafikiri ndio mara yako ya kwanza kusambaziwa pumba? Je unakasirika utadhani snitches ni alien? 
Tumia kahawa ina tuliza muhaho,
dozi kila baada ya masaa 2 au 3 , makasiriko yakizidi nenda gym
Mimi natumia kahawa wewe je?



