Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,168
- 95,948
Mapema tu, una jidunga sleeping drink😃Kazi na dawaView attachment 2723781
Mapema tu, una jidunga sleeping drink😃Kazi na dawaView attachment 2723781
TUnatoka kwenda wapi?😅Mwenyewe nashangaa hapa nyie
Eti natoka na Jack??
Jack Palladino baba fanya kunitumia ticket nije ulipo tufanye kweli kumbe wamenikabidhi afu me sijui?!!!
Nimekubali kuwa official bi mdogo![]()
Kama kupenda Bora nipende familia yetu. Maana jf sio kwetu😃😁😅😅😅 wanawake wamejaa JF jichagulie tu .. wazuri hao
waddup broeeh! sasa hivi watu wanachungulia tu
wanitafutie mtoto mkali nikae kimya 😅😅waddup bro
Mr public publisher 😂😃waddup bro
Angalau wameenda kulalaNa tufunge pia maana si hali ya kawaida😁😁
😅😅😅😅😅 anza kupepeaa watuu
wamelala au wanachungulia hapa 😅😅Angalau wameenda kulala
Uzi upumue aisee
Ohhh😂😃🏃🏃🏃, I need fugitive protection 😃wamelala au wanachungulia hapa 😅😅
😅😅😅 namsubiri peter kibala anaandaa nzitoo .. naileta hapa.. ili nisamehe waniletee demu wa kilatino..Oya National Anthem sio powa mwanangu😂😃😃🤣.
👉Dogo Penseli 4 ana ongea Kama ana solid evidence 🤣🤣😂😂🤣🤣
👉Sema bro Countrywide Ali kuwa sahihi kumzingua Penseli 4
Sema kazingua, yaani me no Bebe even 1 😂🤣🤣🏃🏃🏃😅😅😅 namsubiri peter kibala anaandaa nzitoo .. naileta hapa.. ili nisamehe waniletee demu wa kilatino..
😅😅😅 mwanasheria anaanda nyaraka zingine.. dogo koro sana.. kuna wenzake wajiandae ..Sema kazingua, yaani me no Bebe even 1 😂🤣🤣🏃🏃🏃
badae ngoja niendeelee na safari yangu 😅😅😅😅 nitarudi hapa usiku kumalizia kazi.. ujue jana nimechoka sanaSema kazingua, yaani me no Bebe even 1 😂🤣🤣🏃🏃🏃
🤣🤣🤣🤣 nitumie tu nipoze machungu nije nipate hewa nzuri huko mana jf ni shidaaaaTUnatoka kwenda wapi?😅
Hapo pakufanya kweli ndio napataka...
Ticket natuma soon uje tuwakomeshe na picha tutaweka selfika😘
😂😂😂Punguza munkali ndugu ndo maisha 😀ila inasikitisha sanaKubabaake wallahi nyie humu ndani ni nouma dah!!
Jamani leo mniambie shuhuli tuanze saa ngapi? Hawa wafuatao mjiandae mzigo ushashushwa na National 🤣🤣🤣🤣
Siamini mpk sisy Shunie naye yuko kwenye hiz drama duh!!!
Nimekazwa na countrywide nimeachwa, nimebebwa na Jack na nina bifu na Lenie mke mwenzangu?? Mengine nakuja kwanza ngoja niweke chaji ijae ili tuserebuke
Penseli wewe ni nyoka aiseee!! Kumbe una akili mbovu kiasi hiki??