Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😅😅😅 nilipua.. alafu chonde chonde nitunzue siri zangu.. zikifika hapa najua ni wewe

Paper two nakuja na kundi lao na wanao mtumia huyo kijanaa mtashangaa.. tunakata mchawi hapa hapa.. live..
If you accuse me, know you will never be steady.
👉 I will bewitch you, and you will never be able to use your small leg- which has a small head 🤣😁😂 National Anthem
 
Yule mtoto sio mzima. Mie sina muda wa kujadili hizo vitu.

Nikikumbuka nilivyokuwa nagombana na Kantrii,. Saint Anne anajitolea kutunyamazisha..… eti leo mkeka unatoka nimemlamba. Nyiee 🤣🤣🤣🙌

Am out aisee.
nifanyie mpango banaa nitimize fanyasy yangu ya 4somw hayo mengine nawaachia nyie 😅😅😅
 
Jana kuna list ililetwa na Nation kuna wanaume tunatoka humu mimi nilipewa Jack wewe ukapewa Graham na wengineo nao na watu wao


Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🕺🕺🕺🕺 Nyieee😁😁!!!

Hizi taarifa za Grahams namie mbona Kwangu sio mpyaaa halafu???? Bwahahahahahahahahah ebu ncheke kwanzaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom