Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alisha wahi kuwa kwenye level hiyo, hukumbuki Hadi aka chukua tuzo??
👉Baadae aka achia ma hit ka ma 3.
👉Ndo team mond Waka mjaza bichwa😁
Hivi akili zako zipogi wapi nimecheka ulipomsema best yangu National Anthem ila leo ndio siku ya mtoto wako kuliwa kama mboga
 
Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa

Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao

Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu

Shem coca kakuharibu hivi hata mmelala leo kweli??
 
Blue workday
IMG_20230821_103516_791.jpg
 
Back
Top Bottom