Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwenyewe nashangaa hapa nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti natoka na Jack??

Jack Palladino baba fanya kunitumia ticket nije ulipo tufanye kweli kumbe wamenikabidhi afu me sijui?!!!

Nimekubali kuwa official bi mdogo [emoji8][emoji182]
TUnatoka kwenda wapi?😅
Hapo pakufanya kweli ndio napataka...
Ticket natuma soon uje tuwakomeshe na picha tutaweka selfika😘
 
😅😅😅 wanawake wamejaa JF jichagulie tu .. wazuri hao
Kama kupenda Bora nipende familia yetu. Maana jf sio kwetu😃😁
👉Kuhusu kupendwa Nita penda tumbo na Malengo yangu😁😃
👉Sitaki mahusiano uchwara, kesho Nika onekana hawara😃😂🏃🏃
👉Ati mwema, kumbe pengine kafanya biashara- kana igawa kila Mara😂😂😂😂 National Anthem National Anthem
FB_IMG_16924765873902137.jpg
 
Kubabaake wallahi nyie humu ndani ni nouma dah!!
Jamani leo mniambie shuhuli tuanze saa ngapi? Hawa wafuatao mjiandae mzigo ushashushwa na National 🤣🤣🤣🤣

Siamini mpk sisy Shunie naye yuko kwenye hiz drama duh!!!
Nimekazwa na countrywide nimeachwa, nimebebwa na Jack na nina bifu na Lenie mke mwenzangu?? Mengine nakuja kwanza ngoja niweke chaji ijae ili tuserebuke
Penseli wewe ni nyoka aiseee!! Kumbe una akili mbovu kiasi hiki??
 
Back
Top Bottom