Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!
Hakii Nacheka kama mazuri vilee


🤣🤣🤣🤣🤣means una kibamia 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠😂😂😂!!


Weee babuu wakati umesifiwa hapoo mfyuuu!!🤣🤣🤣🤣🤠🤠!!
Na uzee huu kweli unaamini Mjukuu 🏃🏃
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!
Hakii Nacheka kama mazuri vilee


🤣🤣🤣🤣🤣means una kibamia 🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠😂😂😂!!


Weee babuu wakati umesifiwa hapoo mfyuuu!!🤣🤣🤣🤣🤠🤠!!
Afu niliona comment ikapotea 😂😂😂
 
Sema tuko tz, ila kwa Akili zetu ili paswa tuwe na ka private investigation company 😁.
👉Tu solve baadhi ya mystery case💪. PakiJinja
Tunasajiria Nairobi tu hapo, halafu tunaanza na blocks ambazo kuna nchi za Congo DRC, central Africa na SADC countries😁.

Wateja wakubwa wanakua ni government agencies, Investors, Mashirika na Makampuni Makubwa ya habari, Taaisisi za utafiti, Business people n.k😃, ngoja tuendelee kuota, maana ni haki yetu kikatiba😁
 
Shukrani kuniamini Mjukuu, Babu yenu sina hayo mambo kabisa yaani
Niwe na mubebez humu afu nitaniane taniane nae wazi hivi kama navokutania babu nimerogwa??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠😂😂🤭🤭🤭?


Waje waniibie humu wasivo na dogo😏😏😏???? thubutruuuuuuu!!!
Sitorudia trena huo ujinga wa mahusiano humukwanza napambana nahare yanguuu tyuuu nina furaha saiiii hekaheka zenyuuuu🙌🙌🙌🙌!!
 
Usijali najua utranii kipenziiiiii !!😂😂😁😁! Usijeleta tafrani hata kwa mubebez mpya wa granpah etu humuu babuu bureeee 🤠🤠🤠😂!!
Sitakuja kudate na Mtu humu Mjukuu, kama hamuwezi kutunza siri ndogo ndogo kama hizi vipi yale ya Sirini si yote yatakuwa wazi


Mnajua Sisi Wazee wa Pwani tunavyopenda kuvaa misuli kuficha yale mambo yetu, sasa mkija kuona yale mambo si mtakuja na picha zetu kabisa 🤪🏃🏃🏃
 
Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu 😀 kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn 😂😂😂😂 tatizo nyotraaa
Auntie
Mimi kwenye mafumbo nilipataga sifuri.

Sielewi😂😂

Nenda direct Auntie
Ulisingiziwa Nini?
 
Niwe na mubebez humu afu nitaniane taniane nae wazi hivi kama navokutania babu nimerogwa??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠😂😂🤭🤭🤭?


Waje waniibie humu wasivo na dogo😏😏😏???? thubutruuuuuuu!!!
Sitorudia trena huo ujinga wa mahusiano humukwanza napambana nahare yanguuu tyuuu nina furaha saiiii hekaheka zenyuuuu🙌🙌🙌🙌!!
Wewe bado umri unaruhusu, ila Miye na Uzee huu wapi na wapi 🤪
 
Back
Top Bottom