Unaongoza😂😂😂Doh afadhali aweke hapa na mimi niwajue watu ambao nina mahusiano nao mana siwajui😂
Na mtako ule utakufa kweli 😂😂Naona kuna watu wanataka kupata radhi kwa kuwazushia Uongo Wazee.
Yaani na miaka 78 yote hii mnataka nifie kitandani?
Ilibaki kidogo nikuite unisaidie mana unajua nilivyo domo zege PM 🤣Unaongoza😂😂😂
Doh afadhali aweke hapa na mimi niwajue watu ambao nina mahusiano nao mana siwajui![]()
Hahahaha,hapana Rafiki,hayo mambo yenuNa wewe nikupe usafishe macho![]()
Roho mbaya kabisa ile, dada watu hana hili wala lile unamuundja story.. Watu hawajui athari za utungaji story wao mnaweza vunja mahusiano hivi hivAiseee
Nyie😂😂😂😂
Humu ndani au wanataka tuachike🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ana balaa huyo,Ana balaa huyooo(in ahmedally voice)😂😂😂Unaongoza😂😂😂
Kulikoni tena wanajukwaa?Naomba usinihusishe na upuuzi wenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Tangu fyokofyoko zianze Humu umeona nimekutag sehemu???? Au hata kukuquote tu???? Acha quote hata like tu umeona hata kimojawapo toka Kwangu???? Hio amani utadhani itarudi kwahuu unafiki unaoufanya hapa???
Pulllllllliiiiiiiiizzzzz leave me alone sitaki ugomvi nawewe sikutag wala sikuquote popote so kufa kwa amani tasavaliii 👐👐👐👐👐👐🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
!
mbona unaniingiza mimi wakati sipo😂Aje tu kwa kweli anieleze mlianzia wapi kututeta
Haniiiii........🤣🤣🤣🤣Unaongoza😂😂😂
HIi kali nimepita hadi na wewe na hujui😂Hatareee mpk cute umepita naye afu hata sikujui imeniuma!!!
Naomba usinihusishe na upuuzi wenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Tangu fyokofyoko zianze Humu umeona nimekutag sehemu???? Au hata kukuquote tu???? Acha quote hata like tu umeona hata kimojawapo toka Kwangu???? Hio amani utadhani itarudi kwahuu unafiki unaoufanya hapa???
Pulllllllliiiiiiiiizzzzz leave me alone sitaki ugomvi nawewe sikutag wala sikuquote popote so kufa kwa amani tasavaliii!
!


imekuwaje tena??Aunt mkeka unapanda sasa hivi kaa mkao wa kula
Yaani kama haupo kwenye huu mkeka basi ukatambikie mizimu wallah![]()




Hahahaha,Fake File pdfHIi kali nimepita hadi na wewe na hujui😂
Kwakweli hilo pdf abaki nalo tu😅
Vijana wamekosa kazi mkuu😅Hahahaha,Fake File pdf
alafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. 😅😅😅 uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..