Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Vijana wamekosa kazi mkuu😅Hahahaha,Fake File pdf
Vijana wamekosa kazi mkuu😅Hahahaha,Fake File pdf
alafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. 😅😅😅 uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Naona kuna watu wanataka niwape radhi, tangu lini Wazee tukawa na hayo mambo?Afu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!
Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🤣🕺🕺
Ulikua unaniambia hawakujibu PM kumbe ndio unaongoza kusambazia warembo raha😂😂😂Ilibaki kidogo nikuite unisaidie mana unajua nilivyo domo zege PM 🤣
Bro kulikuwa na waziri wa hizo kazi wew ni naibu wake 😂😂😂Vijana wamekosa kazi mkuu😅
Naona kuna watu wanataka kupata radhi kwa kuwazushia Uongo Wazee.
Yaani na miaka 78 yote hii mnataka nifie kitandani?
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂! Nasubiria list yakoor vouchaaa 😂😂😂😁😁!!Haniiiii........🤣🤣🤣🤣
Aisee na wewe upo kwa list yangu?🤔Ulikua unaniambia hawakujibu PM kumbe ndio unaongoza kusambazia warembo raha😂😂😂
Mwanafunzi umenishinda tabia
Hahahahaha,dahVijana wamekosa kazi mkuu😅
Mhh napewa vyeo vikubwa bila taarifa, na wewe upo kwa list yangu au?😔Bro kulikuwa na waziri wa hizo kazi wew ni naibu wake 😂😂😂
😂😂😂😂😂Ana balaa huyo,Ana balaa huyooo(in ahmedally voice)😂😂😂
Kwa kweli wamenikosea sana.Na mtako ule utakufa kweli 😂😂
Sikuoni, nakuita hanii huonekani😂😂😂Haniiiii........🤣🤣🤣🤣
Mjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na waoalafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. 😅😅😅 uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Ili ufanye kweli😂😂😂Aisee na wewe upo kwa list yangu?🤔
😂😂😂Kwa kweli wamenikosea sana.
Hawa wanataka nife kabla sijafaidi Pension zangu, maana ule mzigo kwa picha tu nilikuwa natetemeka, je ikiwa live si kuona tu presha na kisukali vitapanda
Nakaziaalafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa.. 😅😅😅 uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Mji mzito huu😂😂😂😂😂
Tunampa maua yake
Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?Grahams [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasikia ulisimamia kucha eti nyie jf hapana
Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!😮💨Ili ufanye kweli😂😂😂
Kwenye list yako sipo aiseee, ila nusu ya selfika umooo😂😂😂😂g.o.a.t mwenywe