Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro

Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
nasemajeeeee mtafukuanaa hadi mjue unafikii hauna umbaliii, na ninawa zoom tyuuuh.

Mie yangu machooo,
 
Uongo
Me kimeniuma pic zangu tyuu hayo mengine wala siyahitaji kivile hayana umuhimu

Unajua mtu mwenye akili zake timamu hawez kubeba pic ya mtu na kuikimbiza kwa mtu ambaye ahusiani naye, huo ni UCHOKO afu anapeleka na vimaneno ili iweje??
umefikiwaaa uduguuuh,
Nacheka kwa sautiiii, woiiiiiiiih
 
Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma
leo nachekaaa km mwehuuu, woiiiiiih
 
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta

Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
Hasa wanaume,,, me hawanipati ng'ooo.
 
Back
Top Bottom