Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ujue eti wanatuimbia parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Yaani nilicheka sana.

Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana[emoji1787]

Parapanda mnakufa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au ndo maana siku hizi huweki weki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yesu wangu,
Majobless tutaishije sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Wakuache kabisa
Katika watu wataoingia Mbinguni moja kwa moja na wewe upo.
Hivi hujasikia kuwa Mr Vocha anatoka na St Anne kamnunulia hadi jezi!
Ni balaa na nusu mdogo wangu
 
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta

Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… vijana wadogo mna date nao.. mkitongozwa na sie wazee.. mnatufungia PM.. pambaneni na vijana wenu
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Pole sana chief.. ila tuishi nao mkuu.. hizo watu ni small mind ndio maana zakaa zinatengeza movie.. mie hayo matusi sijawai hata fanya nashangaa mkeka huo niliopita naoo.. ingekuwa kweli mbona ningevimbam.. inabidi usitishe msaada wa vocha
Hamna namna chief
Tutafanyaje sasa

Uzi umekua kijiwe cha umbeya ma legend wote wamekimbia aisee
 
Back
Top Bottom