Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa picha walipeleka pm kwa mtu ya Nini?
Ila nyie Kuna vitu vinachekesha

Sasa huyo waliyempelekea anawaonaje?

Ni vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!

Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy
 
Pole sana chief.. ila tuishi nao mkuu.. hizo watu ni small mind ndio maana zakaa zinatengeza movie.. mie hayo matusi sijawai hata fanya nashangaa mkeka huo niliopita naoo.. ingekuwa kweli mbona ningevimbam.. inabidi usitishe msaada wa vocha
Ujue eti wanatuimbia parapanda
Yaani nilicheka sana.

Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana
 
Ni vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!

Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy
Au wanataka muachane
Kamati ya roho mbaya


Uzuri wanaume Wanajitambua na ni waelewa

Wangekuwa wa kukazwa upepo na kusikiliza maneno,aisee
Mahusiano yasingedumu..kuna vichaa humu
 
Back
Top Bottom