Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Umechelewa kutambua kipenzi 😁Nilichokiona humu,kuna watu wa humu wana ka group huko PM,
Umechelewa kutambua kipenzi 😁Nilichokiona humu,kuna watu wa humu wana ka group huko PM,
Sasa picha walipeleka pm kwa mtu ya Nini?
Ila nyie Kuna vitu vinachekesha
Sasa huyo waliyempelekea anawaonaje?![]()



Ujue eti wanatuimbia parapandaPole sana chief.. ila tuishi nao mkuu.. hizo watu ni small mind ndio maana zakaa zinatengeza movie.. mie hayo matusi sijawai hata fanya nashangaa mkeka huo niliopita naoo.. ingekuwa kweli mbona ningevimbam.. inabidi usitishe msaada wa vocha









😅😅😅😅 wehu tu banaa.. sema mama mchungaji walimkosea sana.. ujue bora wangezusha nipo na Unique Flower tuuUjue eti wanatuimbia parapanda
Yaani nilicheka sana.
Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana![]()
Home mkuu nimechili na ubao vibaya mnoMwachiluwi leo wapi 😅😅
aint naomba niitie SimaraUjue eti wanatuimbia parapanda
Yaani nilicheka sana.
Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana![]()
😅😅😅 Pole naenda hapo karibia na small planetHome mkuu nimechili na ubao vibaya mno
😅😅😅 sema nini sasa inabidi tufanye kweli..Kumbe
Wapi vibe au wapi?😅😅😅 Pole naenda hapo karibia na small planet
nafata lishangazi langu la JF nikalipasue 🤣🤣🤣🤣Wapi vibe au wapi?
Kazi ya iko kgroup?Nilichokiona humu,kuna watu wa humu wana ka group huko PM,
sio mie ndio wanipe kifuta jasho.. kupita mtu na dada yake bonge la fantasy ... sijui nilifanyia nini sasa wakati hata kadudu sina.. wana pepo hao watu



😂😂😂 usiniangushe sasa mzee ukatoa shoo mbovu af keshe mwandishi akachana makalanafata lishangazi langu la JF nikalipasue 🤣🤣🤣🤣
Muandishi wa makala yupo page ya 40 .. anatunga scenes tu
Au wanataka muachaneNi vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!
Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy![]()






wehu tu banaa.. sema mama mchungaji walimkosea sana.. ujue bora wangezusha nipo na Unique Flower tuu





wawili tu ? 😅😅😅😅 nina list ndefu sana ya nilio ruka nao.. ila hata PM cha ajabu huwa sichart nao .. wala sijawai wasiliana nao hata kwa ujumbe mmojaWakupe kifuta jasho wakati wewe umesifiwa kupita na warembo wawili![]()
😅😅😅😅 mambo yangu yale mwanzo mwisho😂😂😂 usiniangushe sasa mzee ukatoa shoo mbovu af keshe mwandishi akachana makala
Af ndio nitegemee kuachana hapo uongo 😂😅😅😅😅 mambo yangu yale mwanzo mwisho
Ujue eti wanatuimbia parapanda
Yaani nilicheka sana.
Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana![]()


