Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii kitu imekuumiza sana lakini kwa nini usimtaje ili iwe funzo kwa wambea wengine

Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro

Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
 
IMG_20230820_084549_008.jpg
 
mbona hawakimbilii PM zangu au kwasababy sina demu 😒😒
Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro

Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
 
Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro

Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
Halafu siku ile nilikuwa nataka nichangamshe uzi wa selfika ila wewe na amini hii kitu ni kweli maana toka jana ni bora ukapotezea best😁
 
Nashukuru Mungu Ni Mwema.

Nimefurahi Pia Kukuona Naimani Unaendelea Vyema.

Yeah Kitambo Ila Tupo Pamoja Naona Uzi Wako Pendwa Umewaka Moto Ndani.
Mkuu kichwa kichafu,upo?
Nimefurahi kukuona Mkuu..kitambo sana sijakutia machoni humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom