Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Mkuu kichwa kichafu,upo?Aisee
Imefikia Huko
Nimefurahi kukuona Mkuu..kitambo sana sijakutia machoni humu jukwaani.
Mkuu kichwa kichafu,upo?Aisee
Imefikia Huko
Kwa nilivyochafukwa subiri nina trip moja matata sana nitamwaga maselfie humu mpk wenye uchungu wazae watoto njiti![]()





Thawa.zote za zamaniUsisahau kuselfika mlongo

Hivi huu wimbo kaimba nani?Huyo babe ako ni yupi???
Namtafuta haniii yangu,haniiiiiii,haniiiiii![]()
Hii kitu imekuumiza sana lakini kwa nini usimtaje ili iwe funzo kwa wambea wengine![]()




Dah
Huu uzi bwana
Hivi kwani ni akina nani mnaosemana
Mbona sielewi
Au ngoja nisome
Umbea huu
Ila macho hayana pazia
Ngoja nisome.




Mda mwingine anakela anashindwa jishikiliaUnalo leo![]()
Zuchu kaimba, watoto ni shida tu kitaa.Hivi huu wimbo kaimba nani?
Ni sku ya tatu namsikia mtoto anaimba,sijui kautoa wapi.
Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro
Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
Halafu siku ile nilikuwa nataka nichangamshe uzi wa selfika ila wewe na amini hii kitu ni kweli maana toka jana ni bora ukapotezea best😁Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro
Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na I’d mpya… sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
😅😅 nilichekaa.. alafu nikaona hurumaTengeneza cake utasutwa
Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??
mbona hawakimbilii PM zangu au kwasababy sina demu![]()




Mkuu kichwa kichafu,upo?
Nimefurahi kukuona Mkuu..kitambo sana sijakutia machoni humu jukwaani.
🙆🏾♀️😁😁😁Tengeneza cake utasutwa
Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??
😁😁😁😅😅 nilichekaa.. alafu nikaona huruma
hadi uwe na hela kwanza msingi kiuno 😅😅Mtafute chugga man akupe mbinu![]()
😬😬😬😬