Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,836
Naomba niitie Simara nime mmis sanaWapumbavu wachache wasije fanya uache kutujali majobless
Kumbuka unamkopesha Mungu.
Usiache kuweka vocha..Kuna vijana zinaaasukuma sana maishani.
Naomba niitie Simara nime mmis sanaWapumbavu wachache wasije fanya uache kutujali majobless
Kumbuka unamkopesha Mungu.
Usiache kuweka vocha..Kuna vijana zinaaasukuma sana maishani.
Kipenz kunawatu ubinadamu hawaujui kabisa Kuna mwingine kabla ya kufanya jambo anajiuliza akiona halina faida anaachana naloKwa nini mtu uigize jukwaani una heshima kumbe pm ni msambaza uwongo na unafiki 😬😁😁
Mimi tena mdogo wanguWapumbavu wachache wasije fanya uache kutujali majobless
Kumbuka unamkopesha Mungu.
Usiache kuweka vocha..Kuna vijana zinaaasukuma sana maishani.
Bora mm najulikana omba omba kuliko nijifiche kuwa sina dhiki wakati zipo humu wananiita mzee wa kupenda kitonga nimekubaliana na hali na uzuri maboss hamniangushi ndugu zangu



Walivyo wafukunyuku wanamjua.Niambie me basi thithemiii![]()
😂😂😂Ni kuwasamehe tuKwa nini mtu uigize jukwaani una heshima kumbe pm ni msambaza uwongo na unafiki 😬😁😁
Hii ni wapi bosstwende shambani ukija 😊😊.. usiwe mkorofi sanaView attachment 2723308
Na mimi nakufahamu shem
Basi tunafahaminana![]()



Nilikuwa sina habariMimi tena mdogo wangu
Ingekua ni kuacha nibgeshaacha kitambo
Mimi nitaselfika tu labda mambo yayumbe tu
ukija tunaenda mguu wako mguu wangu 😬😬😬😬... sasa sijui wanatengeza scene kuwa utaliwa milimani 🙈🙈Hii ni wapi boss
Hao ndoyo binadamu mdogo wanguNilikuwa sina habari
Kumbe Kuna matukio ya wiki mapya likiwemo hili la jezi.
Kweli ni habari za hapa na pale🤣
Walivyo wafukunyuku wanamjua.
Sema hizi stori zao hazimtishi
Tulikuwa tunachat sana humu
Tushakuwa wakubwa,tumeacha.
Yupo busy kutafuta hela kijana wa watu.


Nimemsamehe ili akazwe yeye maana alikuwa na wivu sana😁😁😁😂😂😂Ni kuwasamehe tu
Njoo taratibu utueleze😂😂😂Nilikuwa sina habari
Kumbe Kuna matukio ya wiki mapya likiwemo hili la jezi.
Kweli ni habari za hapa na pale🤣
😅😅😅 Umemaliza mzee wanguu.. Huu ndio ukweli 100%... acha nikafanye yangu sasa.. toto kama zimeshushwaaa mzeeHumu jf domo zege Ni nyingi Sana. Hii ya kuibukia vivuli ndio only option.
Na Hawa dada zangu nahisi some of them Ni rejected huko kitaa na hii ndio only option yao ya kujitutumua. Maninah maana kila siku wanapigania madudu ya madomo zege ya jf.
😂😂😂😂😂Nimemsamehe ili akazwe yeye maana alikuwa wivu sana😁😁😁
Tajiri yangu Mjep jana nimemuomba 70k kanitoa na kasema anidai nimeongezea na hela alio nipa National Anthem ya soda 45k nataka nikanunue zuria jeupe la manyoya GSM MALL kazana na wrwe kuombaNiunge na me tuombe ombe wote basi![]()
Ngoja nikuletee sura lake ulione kwanza yaani yupo km mbuni anayejifunza kukimbia nywele kichwani hazieleweki sijui kapaka zazuu na vyenyewe fupi bwaaahaaa
Ngozi ya uso ipo km ya kenge mafuta yamegoma nyie mi sitaki, si bora angekataa kuumbwa mwanamke![]()





uduguuuuu selfika waijuaa? Waisikia? Wee hayaa tyuuh,Nimemsamehe ili akazwe yeye maana alikuwa na wivu sana![]()




tena umwambie anayemkaza ampe kito**mo heavy mpk aje asimulie!!!😅😅😅😅😅Tajiri yangu Mjep jana nimemuomba 70k kanitoa na kasema anidai nimeongezea na hela alio nipa National Anthem ya soda 45k nataka nikanunue zuria jeupe la manyoya GSM MALL kazana na wrwe kuomba