YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Au wanataka muachane
Kamati ya roho mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri wanaume Wanajitambua na ni waelewa
Wangekuwa wa kukazwa upepo na kusikiliza maneno,aisee
Mahusiano yasingedumu..kuna vichaa humu[emoji1787]
Hata tukiachana ndo watampata sasa??? Kwa Kantri wanajichosha tyuuuu!!!
Yupo mbele ya muda yule [emoji2222][emoji2222][emoji2222]