Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Njoo taratibu utueleze😂😂😂
Nilipewa hela ya jezi hapa na Mjep
Nilidhani anatania

Sasa nikaja kushukuru.
Ndo eti wanasema tunadate,kanipa hadi hela ya jezi🤣🤣
Ndo nikawa nasema hapa sijawazuia mimi kushabikia Liverpool chama la Dunia.
 
Humu jf domo zege Ni nyingi Sana. Hii ya kuibukia vivuli ndio only option.

Na Hawa dada zangu nahisi some of them Ni rejected huko kitaa na hii ndio only option yao ya kujitutumua. Maninah maana kila siku wanapigania madudu ya madomo zege ya jf.
Sikuhizi unaakili sana vijana huko mtaani Ni Wengi mno😀😀😀sijui shida Ni nini hapa ndani
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
Uduguuuuu naombaa niwe Referee,
 
uduguuuuu selfika waijuaa? Waisikia? Wee hayaa tyuuh,
Ila ndo nimechekaa sanaaa, mbavu zinauma wallah.

Hujacheka vzr nakwambia ni shida humu!! Nimeshangaa mpk ss hivi ile sura ya mwanamke kweli au alikimbia kupachikwa dyudyu kabla hajakauka wakati wa uumbaji??
 
Back
Top Bottom