Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tengeneza cake utasutwa
Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??


Yaani naona napitwa na mambo sana humu.
Hadi sasa sielewi.



Unadhani hata naelewa basi
Sijui hata ni akina nani,
Mimi nililetewa hizo habari na dada wa watu HS,kuwa wametusema mimi na yeye eti tumetoka na National Anthem

Nikawa nashangaa hapo.
Mama wachungaji tukawa tumefikiwa..
Kuna watu moto wao utakuwa VIP aisee
Tumemkabidhi Mungu tu,
Uwezo wa kuchamba hatuna.
 
Halafu siku ile nilikuwa nataka nichangamshe uzi wa selfika ila wewe na amini hii kitu ni kweli maana toka jana ni bora ukapotezea best

Uongo
Me kimeniuma pic zangu tyuu hayo mengine wala siyahitaji kivile hayana umuhimu

Unajua mtu mwenye akili zake timamu hawez kubeba pic ya mtu na kuikimbiza kwa mtu ambaye ahusiani naye, huo ni UCHOKO afu anapeleka na vimaneno ili iweje??
 
Uongo
Me kimeniuma pic zangu tyuu hayo mengine wala siyahitaji kivile hayana umuhimu

Unajua mtu mwenye akili zake timamu hawez kubeba pic ya mtu na kuikimbiza kwa mtu ambaye ahusiani naye, huo ni UCHOKO afu anapeleka na vimaneno ili iweje??
We humu watu ni wakuda kichenzi halafu sijui niseme ni ukosefu wa kazi 😬
 


Yaani naona napitwa na mambo sana humu.
Hadi sasa sielewi.



Unadhani hata naelewa basi
Sijui hata ni akina nani,
Mimi nililetewa hizo habari na dada wa watu HS,kuwa wametusema mimi na yeye eti tumetoka na National Anthem

Nikawa nashangaa hapo.
Mama wachungaji tukawa tumefikiwa..
Kuna watu moto wao utakuwa VIP aisee
Tumemkabidhi Mungu tu,
Uwezo wa kuchamba hatuna.

Pole ungewakemea ni mapepo hayo
 


Yaani naona napitwa na mambo sana humu.
Hadi sasa sielewi.



Unadhani hata naelewa basi
Sijui hata ni akina nani,
Mimi nililetewa hizo habari na dada wa watu HS,kuwa wametusema mimi na yeye eti tumetoka na National Anthem

Nikawa nashangaa hapo.
Mama wachungaji tukawa tumefikiwa..
Kuna watu moto wao utakuwa VIP aisee
Tumemkabidhi Mungu tu,
Uwezo wa kuchamba hatuna.
wangejuaga.. mie hata kifanyio sina..

wakati wanatahili wakakikata chote.. hapa napiga tu makelele masaa yaende.. ila watu kumbe wanaona nipo serious 😅😅
 
Nashukuru Mungu Ni Mwema.

Nimefurahi Pia Kukuona Naimani Unaendelea Vyema.

Yeah Kitambo Ila Tupo Pamoja Naona Uzi Wako Pendwa Umewaka Moto Ndani.

Ulikuwa wapi Mkuu?
Hebu nisalimie na selfie yako hapa ya kichwa kichafu.


Huu uzi kawaida sana.
Hizi mbona Cha mtoto
Enzi hizo ndio kulikuwa na vichambo vya kufa mtu
Uzi ukichafuka hadi tunahofu mods wasije ufunga.
 
Back
Top Bottom