Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hawajanifikia ila wanaforce kunifikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilichogundua hawali wakashiba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umekutwa na lipi uduguuu? Hebu nijuzeee mwenzako, wee sio wa kunificha mie.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo bandama zangu zitapasukaaa.
 
Upemecano
9aac660363e23585c9a49108c79f1c49.jpg
 
Ase muwe mnapotezea maneno ya humu wengine tuna yasikia tuna yaacha be patient show happy siku zote ndio silaa kubwa ya adui akusemea anataka kuona ukiumia na ukija mjibu hapa anasema yah kaumia kama nilivyotaka ila usipo jibu anaumia yeye take it ni ushauri tu
Kuna mambo kwa mazingira yoyote, iwe kwenye real life au huku kwenye fake id mwanaume hapaswi kuyafanya.

Huwa nashangaa sana sijui wanaume wenzetu mnawezaje.

Ukwei kabisa wewe na wenzako mna ukike kike sana. Nilipaswa kumchana mmoja baada ya mwingine, watu wanazuia

Anyway....
 
Halafu na nyie Mana chekesha, a small damn issue ila mme weka debate ya siku 2.
👉Halafu mna disiana kuhusu kipi??, Wakati wote hapa Ni ma keyboard warriors 🤔
👉Kama ume Anza kukasirisha dunia hii ya kufikiri a, ukija dunia halisi SI ndo mta uana🤔🤐
 
Back
Top Bottom