Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujacheka vzr nakwambia ni shida humu!! Nimeshangaa mpk ss hivi ile sura ya mwanamke kweli au alikimbia kupachikwa dyudyu kabla hajakauka wakati wa uumbaji??
utajijuuuuuuuuuu, na sina cha kusema mnajuanaa wenyeweee na manjegekaa yenuuu.

Umefikiwa na weyeeee eeeh?
 
😅😅😅 mbona nawakopa wengi sana na hakuna anae chomoa mzee.. naongeaga kama yule Carlos wa kwenye movie.. so naonekana wa maaana.. kuna wengine wananipea .. sema nini uwe mtu wao.. hata siku kama huna michakato ya kupiga unawanunulia msosi au kilaji.. mbona utafaidi
Haha unanikumbusha enzi nalitumia boom lote 450k kwa weekend mmoja!

Nilikua nikifika kina mawazo wananipapatukia nikizama ndichi utasikia Hawa ndo vidume Sasa wameingia.

Then kesho chuo mwanzo mwisho wali maharage 600 na kushindia mkate na chai. Zitatua hizi cc sumbai
 
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta

Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
Hiki ndio nilitaka kufanya siku ile mkasema hayo niachane nayo, hawa wanaume wenye ukike kike nilipaswa siku ile kuwachana wote mnazuia.
 
Back
Top Bottom