Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi sasa nshakua na G wang, ila kweli mwanzoni unaweza usimpende ila kadri muda unazidi kusogea ndo mnaanza ku bond.
Eeh kama wewe wakati ule na G
Si ilikuwa unawaza sijui yukoje

Love doesn't ask why , unakuta moyo umependa na umemuelewa jamaa ile mbaya
 
mello yuko cool sanaa, mie nampenda balaa.
Nikijisikia namchokozaa, utasikia "wee msumbufu ndo maana members wanakuogopa"

abarikiwe huyu baba jamanii.
Alinizingua jana asubuhi na wewe bhana una badilisha sana namba sijui nina namba zako nne na hii tenaaa? 😂 😂
All is all the guy is 👍😉
 
Alinizingua jana asubuhi na wewe bhana una badilisha sana namba sijui nina namba zako nne na hii tenaaa?
All is all the guy is
mie nampenda mnoo Mello, yuko humble,
Nikijiskia namchokozaa wee bas, roho yanguu kwatuu
 
mie nampenda mnoo Mello, yuko humble,
Nikijiskia namchokozaa wee bas, roho yanguu kwatuu
😂😂😂 Yuko poa sana sema mshawishi Na yeye awe ana selfika basi. Yuko humble mnooo naikumbuka ile JF ya miaka ya 2010 unampigia anakufuata kuja kukuelekeza enzi za Blackberry bold na curve😅
Mara mbili alinifuata pale Millennium Towers enzi za mgahawa wa Steers na juice 🥤 ananunua.
 
Yuko poa sana sema mshawishi Na yeye awe ana selfika basi. Yuko humble mnooo naikumbuka ile JF ya miaka ya 2010 unampigia anakufuata kuja kukuelekeza enzi za Blackberry bold na curve
Mara mbili alinifuata pale Millennium Towers enzi za mgahawa wa Steers na juice ananunua.
nimechekaaa, hebu kesho nimuambie anifuatenna mie kuja kunielekezaaa, woiiiiih.

Sasa a selfike na picha zake zimejaa mtandaoni kibao. Hivi hana fekero kweli analoswampia humu??
 
nimechekaaa, hebu kesho nimuambie anifuatenna mie kuja kunielekezaaa, woiiiiih.

Sasa a selfike na picha zake zimejaa mtandaoni kibao. Hivi hana fekero kweli analoswampia humu??
Yawezekana analo we never know 😂😂😂
Sasa hivi umuite akuelekeze nini ? Wakati kuna Technical staffs na hawafanyi kazi virtually kama enzi zile ? 😅
 
Haina majoto aisee mshamba_hachekwi
IMG_7299.jpeg
 
Back
Top Bottom