Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249







Umeenda chaka
Halafu wala sikuongea naye.
Mwendokasi kila mtu busy na mambo yake.







Wanavutia pia Sanana weusi wasafi vipi....
Ok,safiNi mweupe
Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.
Wadada bana, HahahahaNi mweupe
Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.
Wadada bana, Hahahaha

Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi
Yaani uchafu unaonekana.
Huyo kaka ni msafi jamani...
Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route.
Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.





route ya kimara - kivukoni, kwa mwendokasii kuna wakaka wazuri mnooo, afu pambee sanaa.Dada unawapenda weupee??Ni mweupe
Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.





😍😍
Wanavutia pia Sana
Ila mm napenda zaidi weupe angalau kuwe na balance maana mm ni mweusi.






Classy
Red used to be my absolutely fav....kwanzia nguo/kucha/lipstick etc.
Ntapaka kabla sijazibandua for you!View attachment 2657012

Nmeshiba zang wali wa mama lishe miguu juu
Nilijua tu unatokea Kino Clan.
Nmeshiba zang wali wa mama lishe miguu juuView attachment 2657095
Low cut kwa mbaaali 🔥🔥🔥Nmeshiba zang wali wa mama lishe miguu juuView attachment 2657095
Low cut kwa mbaaali![]()
ukitoka hapo upige push-up 100....Hii kitu kitamu tuache utan bhna
😆😆😆😆ukitoka hapo upige push-up 100....