Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,519
- 235,236
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alinitoroshaa,
Nani huyo tumkamate anakutorosha shule 😁
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alinitoroshaa,
Haya tulia sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenu wana hasara wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G alinitorosha eti.Hee
Nani huyo tumkamate anakutorosha shule [emoji16]
Kabisa atalipwa kwa kutoa kwake, abarikiwe mnoo.Ni wachache sana wenye uwezo na moyo wa kusaidia wengine
Jinsi unavyosaidia watu ndivyo unavyozidi kumkopesha Mungu,,naye atakulipa.
Lita kumi ya mawese nitawatumie watoto wa ndugu zangu hasa COCA mkigawana yeye apewe lita tatu.Fresh Cuzo mambo.
Kuna ndugu yangu anakuja huko mjini Kigoma
Nikamwambia Cuzo yupo
Aisee naona ukishapenda hata kama mwanzoni ulikuwa unajishaua kuwa he's not your type blah mwenyewe unajilegeza kwakeSasa dear si muonekano wa nje ndo unaanza kukuvutia kwan au?
Kanoute yuko full package, [emoji8][emoji8][emoji8]
Niliwahi mdm FB, anaongea ki French ndo tulishindwana hapo, English haijui eti. Lol
Ahsantee cuzoo,Lita kumi ya mawese nitawatumie watoto wa ndugu zangu hasa COCA mkigawana yeye apewe lita tatu.
Basi sasa nshakua na G wang, ila kweli mwanzoni unaweza usimpende ila kadri muda unazidi kusogea ndo mnaanza ku bond.Aisee naona ukishapenda hata kmaa mwanzoni ulikuwa unajishaua kuwa he's not type , mwenyewe unajilegeza kwake
Aisee kuna haja ya kujua lugha hizo ..
Downlad app ya duolingo uanze ongea kifaransa .
Eeh kama wewe wakati ule na GBasi sasa nshakua na G wang, ila kweli mwanzoni unaweza usimpende ila kadri muda unazidi kusogea ndo mnaanza ku bond.
Wewe bado mbichi sana kitu namba E yenyewe. Una macho mazuri 😍Aunt labda namba E ya mchongo😂
Hahaha unampa madini sio? 🤔🤣Aisee naona ukishapenda hata kama mwanzoni ulikuwa unajishaua kuwa he's not your type blah mwenyewe unajilegeza kwake
Aisee kuna haja ya kujua lugha hizo ..
Downlad app ya duolingo uanze ongea kifaransa .
I mean no malice to nobodyHahaha unampa madini sio? 🤔🤣
Oya niaje?I mean no malice to nobody
Ndiwooooh dear [emoji8][emoji8][emoji8]Eeh kama wewe wakati ule na G
Si ilikuwa unawaza sijui yukoje
Love doesn't ask why , unakuta moyo umependa na umemuelewa jamaa ile mbaya
Amin🙏Ni wachache sana wenye uwezo na moyo wa kusaidia wengine
Jinsi unavyosaidia watu ndivyo unavyozidi kumkopesha Mungu,,naye atakulipa.
Ubongo wetu umeelekezwa kujihami na kupenda vitu vizuri. Hapo hofu lazima iwepo sasa 😂Hofu ya Nini tena
Alinizingua jana asubuhi na wewe bhana una badilisha sana namba sijui nina namba zako nne na hii tenaaa? 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mello yuko cool sanaa, mie nampenda balaa.
Nikijisikia namchokozaa, utasikia "wee msumbufu ndo maana members wanakuogopa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] abarikiwe huyu baba jamanii.
Ewaah tunabadilishana mawazo hapa .Hahaha unampa madini sio? 🤔🤣
Niambie 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nampenda mnoo Mello, yuko humble,Alinizingua jana asubuhi na wewe bhana una badilisha sana namba sijui nina namba zako nne na hii tenaaa? [emoji23] [emoji23]
All is all the guy is [emoji106][emoji6]