cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Umemuona Saido jana



nilikua nafuatilia zile tuzo jana, saidoo mzuri sema mfupi na umbo kidg. Ila vingne yuko fresh kwa matumizi ya binadamu.Alipendezaaa
Umemuona Saido jana



nilikua nafuatilia zile tuzo jana, saidoo mzuri sema mfupi na umbo kidg. Ila vingne yuko fresh kwa matumizi ya binadamu.For the first niwe nipate baby maana zamqni nilikuwa kwenye mahusiano peke yangu



utapataa usijar dearKumbe wapenda warefunilikua nafuatilia zile tuzo jana, saidoo mzuri sema mfupi na umbo kidg. Ila vingne yuko fresh kwa matumizi ya binadamu.
Alipendezaaa
Hizi laana hizi.nilikua nafuatilia zile tuzo jana, saidoo mzuri sema mfupi na umbo kidg. Ila vingne yuko fresh kwa matumizi ya binadamu.
Alipendezaaa
Amen kipenziutapataa usijar dear
Kwanza dental formula iko vyediiii,Kumbe wapenda warefu
Alipendeza sana halafu ana smile fulani nzuri .



mie type zangu km kanoutee, uwiiiihKwenu wana hasara wallahKwanza dental formula iko vyediiii,
mie type zangu km kanoutee, uwiiiih
Kanoute ana athletic body aiseeKwanza dental formula iko vyediiii,
mie type zangu km kanoutee, uwiiiih
Ni wachache sana wenye uwezo na moyo wa kusaidia wengineAmina mtumishi🙏🙏
Watu wa fb comments zao ni kiboko
Sasa dear si muonekano wa nje ndo unaanza kukuvutia kwan au?Kanoute ana athletic body aisee
Hivi ukipenda mtu kuna kuangalia body size kweli ?



Heealinitoroshaa,
Kabisa atalipwa kwa kutoa kwake, abarikiwe mnoo.Ni wachache sana wenye uwezo na moyo wa kusaidia wengine
Jinsi unavyosaidia watu ndivyo unavyozidi kumkopesha Mungu,,naye atakulipa.
Lita kumi ya mawese nitawatumie watoto wa ndugu zangu hasa COCA mkigawana yeye apewe lita tatu.Fresh Cuzo mambo.
Kuna ndugu yangu anakuja huko mjini Kigoma
Nikamwambia Cuzo yupo
Aisee naona ukishapenda hata kama mwanzoni ulikuwa unajishaua kuwa he's not your type blah mwenyewe unajilegeza kwakeSasa dear si muonekano wa nje ndo unaanza kukuvutia kwan au?
Kanoute yuko full package,
Niliwahi mdm FB, anaongea ki French ndo tulishindwana hapo, English haijui eti. Lol
Ahsantee cuzoo,Lita kumi ya mawese nitawatumie watoto wa ndugu zangu hasa COCA mkigawana yeye apewe lita tatu.


Basi sasa nshakua na G wang, ila kweli mwanzoni unaweza usimpende ila kadri muda unazidi kusogea ndo mnaanza ku bond.Aisee naona ukishapenda hata kmaa mwanzoni ulikuwa unajishaua kuwa he's not type , mwenyewe unajilegeza kwake
Aisee kuna haja ya kujua lugha hizo ..
Downlad app ya duolingo uanze ongea kifaransa .