Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
HaahaHakika aisee
Umeamkaje ???
Wuuuuuu mkoa wa frijiHaina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702
Kumekucha aisee
😃😃 njoo ugandishe mabarafuWuuuuuu mkoa wa friji
Inapendeza kusikia hivyoKumekucha aisee
Nipo poa pia
bila kuzimua kidogo🍺 hutoboi....Haina majoto aisee mshamba_hachekwi View attachment 2656702
🤣🤣 ndio maana huku watu waleviiibila kuzimua kidogo🍺 hutoboi....
Yawezekana analo we never know
Sasa hivi umuite akuelekeze nini ? Wakati kuna Technical staffs na hawafanyi kazi virtually kama enzi zile ?![]()



lazima awe nalo, analo swampia majukwaani woiiiiiih.Chaa😂G alinitorosha eti.
Chaa
G anatuharibia mtoto jamani.
Leo nilipanda na kaka ananukia huyo
Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote.
Mweupeee,msafiiiii
Mungu awabariki wanaume weupe wasafi.
Mnavutia kwa kweli.




ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo.Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidiukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo.
Iwe kwa ke au me.
😂😂😂Chaa😂
G anatuharibia mtoto jamani.
Leo nilipanda na kaka ananukia huyo
Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote.
Mweupeee,msafiiiii
Mungu awabariki wanaume weupe wasafi.
Mnavutia kwa kweli.
Auntie wanaume weupe wasafi wana nafasi yao peponi.
na weusi wasafi vipi....wanaume weupe wasafi wana nafasi yao peponi.
Nilishukia shekilango, mbona nilikuaga hukusikia?Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi
Yaani uchafu unaonekana.
Huyo kaka ni msafi jamani...
Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route.
Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.
Kama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutuliaChaa😂
G anatuharibia mtoto jamani.
Leo nilipanda na kaka ananukia huyo
Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote.
Mweupeee,msafiiiii
Mungu awabariki wanaume weupe wasafi.
Mnavutia kwa kweli.
Ni mweupeKama jamaa yako mweusi,na akaona hii,dah ,akae kwakutulia