Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chaa[emoji23]
G anatuharibia mtoto jamani.


Leo nilipanda na kaka ananukia huyo
Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote.

Mweupeee,msafiiiii
Mungu awabariki wanaume weupe wasafi.
Mnavutia kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo.
Iwe kwa ke au me.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa mweupe afu sio msafi. Kazi unayo.
Iwe kwa ke au me.
Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi

Yaani uchafu unaonekana.

Huyo kaka ni msafi jamani...

Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route.
Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.
 
Weupe wachafu ndo huwa wanatisha zaidi

Yaani uchafu unaonekana.

Huyo kaka ni msafi jamani...

Sijaangalia hata kashukia wapi,ila ntakutana naye tu hii route.
Ningekuwa nimebeba kimini perfume ningemzawadia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] route ya kimara - kivukoni, kwa mwendokasii kuna wakaka wazuri mnooo, afu pambee sanaa.

Mie ndo napenda kuwatazamaa tyuuh. Mtu akiwa msafi anavutia mnoo.
 
Ni mweupe
Msafi pia, kwahiyo nilivyomuona huyo,nikamkumbuka.
Dada unawapenda weupee??

Kuna mkaka alikua ananifatiliaa, ni mweupe ila mie hanifikii, nikamjibu ukweli, mie mwanaume mweupee hapanaa sihitaji, sasa wee mweupe, mie mweupe, utofauti uko wapi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nawataka weusiii, tukiwa Pa1 ni km coca na fanta. Woiiiiih
 
IMG_7991.jpg
 
Back
Top Bottom