Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Kama huna hela lala totoousinifanyie hivyo😅
Kama huna hela lala totoousinifanyie hivyo😅
Hujambo dear ??alinitoroshaa,
Sijambooo mic uu mnoo,Hujambo dear ??
hamna hata offer ya madenti??😂Kama huna hela lala totoo
Gud to you boss, endelea kupiga mtonyo, majobless tuko jelaendelea kuamini hivyo.... watu tuko kitaa tunapiga mishe za pesa ndefu
😍😍
Umesahau kuweka emojis za vicheko.Sijambooo mic uu mnoo,
Alikuficha nani na wapiii??
Offer subiri weekendhamna hata offer ya madenti??😂
Umesahau kuweka emojis za vicheko.



kumbe unapenda eeh, ntakuwa naweka kwa ajiri yako, ufurahi mwenyewee.miss you too ,Sijambooo mic uu mnoo,
Alikuficha nani na wapiii??
Mmmh wee ndo kupotea hivyoo??miss you too ,
Nina wa kunificha kabisa
Nipo tu dear .



We ni mwehu..kumbe unapenda eeh, ntakuwa naweka kwa ajiri yako, ufurahi mwenyewee.
DrMuondoke nipumzike!!!!!
Heheehee niombee mamaMmmh wee ndo kupotea hivyoo??
Nkajisemea Dear kapata G wake, wameamua waka enjoy huko mbali
Katusahau na selfika![]()
Huyo mwehu ndo anaekupa ahueni hapa JF,We ni mwehu..





Usijari utapata na utadekaa had baas dear.Heheehee niombee mama
Nimpate na mie wangu , nideke hadi raha
Umemuona Saido janaHata ucjar yatamfikiaa.
![]()
For the first niwe nipate baby maana zamqni nilikuwa kwenye mahusiano peke yanguUsijari utapata na utadekaa had baas dear.