Amekosekana samaki tu hapoChato nitarud dar nikiwa kifutu
Utafikaje Chato usile samaki??
Umenipita hapa Bwanga chief
Amekosekana samaki tu hapoChato nitarud dar nikiwa kifutu
Alafu ukisoma maandiko yanasema Njia ya kwenda Peponi ni nyembamba balaa, huyu Carasco Putin anataka aende peke yake nadhani 😅🤣🤣🤣 huyu mwanetu Carasco Putin hanitakii mema kabisa. Acha nizidishe maombi aisee
Ahhahaha nakuja uko uko soon possible ngoja nimalizane na ipalamasa hapaAmekosekana samaki tu hapo
Utafikaje Chato usile samaki??
Umenipita hapa Bwanga chief
Waliomtolea aende CASMnafiki, alisema anahangaika haki za wachezaji wazawa, alivyopata yake tu anaenda kupumzika na hela zetu![]()
Hela za makolo zinaliwa ovyoWaliomtolea aende CAS
Utakuwaje sasa!?
Anaenda zake Pemba kuzitafuna
Auntie huyooo 🔥🤳
Tajeni sifa za wanawake wenye macho makubwa😂😂😂View attachment 2656208
Wamefanana mnooo yaan.



Kioo tu hichoKuna watu wanafaidi jaman

Tena ana mtoto wa kiume, huyo ndo kafanana nae balaa, Mello Jr haswaaaah.Damu yake sijui amepaka Nini
Kali mno![]()





Aunt labda namba E ya mchongo😂Auntie Umependeza mtoto namba E kbsa mbichi hapo Dubai ehh