Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
😂😂😂KumekuchaNi ex wangu huyoo, fanya ku replace nafasi yake🤣😂
Uko poa lakin
😂😂😂KumekuchaNi ex wangu huyoo, fanya ku replace nafasi yake🤣😂
Hofu ni nyingi tu lakini ni salama 😀Poa kabisa huku hofu kwako tu
Hofu ya Nini tenaHofu ni nyingi tu lakini ni salama 😀
" Nimezaliwa mugambo nakuona unaruka na kukanyagana leo hii nimekuzidi umri"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Msalimie Luga huyo hapo😂😂😂
Ondoa Wigelekelo kwenye mkeka ongeza
"Mnyaki muuza Pafyumu kali mjini"
Nitahakikisha jezi yako unaipata kwa wakati kabla ya msimu





Yaani Facebook ukiingia andaa mbavu zako" Nimezaliwa mugambo nakuona unaruka na kukanyagana leo hii nimekuzidi umri"
Ila watu!

Mnafanana sana AuntieMmh huyu hamna bhana nitakuletea nilofanana nae![]()

Kwanza nikikukosa kwa haraka haraka naweza dhani nimepotea njiaKweli uandamane kabisaaaa

Kha Amna ana mashavu huyo ningeweka picha ya pachawangu hapa ila watu wataisave tunafanana sanaMnafanana sana Auntie
Yaani nikimuona huyo dada,nakuona wewe mtupu![]()
Khakhakhaaaa!!!Yaani Facebook ukiingia andaa mbavu zako
Mwingine anasema Juma Juma Juma
Nimekuita mara 3![]()
Naam wakati muafaka kabisa mnywani!!
Still cute... mambo ya twende kilioni mrembo 😘😘😘😘😘
Nimefumua weaving leo wamenikatajee nywele zangu mbelee kotree ! Yanii ni wamezipuruaa balaaa hata nikisuka sijui wataanzia wapi kuzishika!!Still cute... mambo ya twende kilioni mrembo 😘😘😘😘😘
Hukurudi salon kufumua dear? Pole ilitakiwa aliyekusuka akufumue, yeye anajua alipopitisha uzi na kusuka. Zitaota tu muda so mrefu mamiiTwende kilioni mode activated!!
Muwe na Usiku mwema wapendwa!!✌️✌️
First Lady Si wamenifumua veaving leo mbelee wamenikatajee nywele zangu hapa ni twende kilioni mpaka vikue kue
Wapii Mnyama mkareeeee
Haha Chino alikua bize anashangaa vitu vingine vizuri zaidi kuliko hata nywele mnywaniNimefumua weaving leo wamenikatajee nywele zangu mbelee kotree ! Yanii ni wamezipuruaa balaaa hata nikisuka sijui wataanzia wapi kuzishika!!