Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂 nyuma raha
Unaendelea na mishe zako.
Ila inategemea na dereva, kuna madereva utataka kukaa mbele.
Nyuma unakuwa free sana
unacheka huko nyuma and do all sort of crazy stuffs 😂😂 .

mbele hapana aisee sipapendi kabisa .
sie wenye aibu ndo kabisa , iwe safari fupi labda .
 
Hawa viumbe

Wana mijishepu

Hatari na nusu

Mzee wa kupambania huku kunamfaa
emoji1787.png
🤣🤣🤣 Kuna zile totoz za kwa Madiba zinajiitaga Mzansi girls sio poa mkuu pisi zimesimamia ukucha na zinajiachia sio poa kule nitakufa kwa UKIMWI
 
Jomoneeeee uduguu unapitwajeee tutanii naweee?? Bila heka hekaa naumwaaaa mwenzio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukujee twiraaaaa ujioneeeee visangaaaa mbna kumenogaaaaaaa, coco nae kwa kujishaua hajamboo mxxxxxiiieeeeew mie ndo maana namchambagaaa hana hamu na mie kabisaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji39][emoji39][emoji39] ninavyopenda udambwi dambwi sasa naja
 
Ila Vitoto vina mitego sana, wakati nimemaliza Form 6 nasubiri kwenda chuo nilikuwa napiga Tempo, yaani vitoto vilikuwa vinanipa majaribu sana.

Ukiwa na roho nyepesi, jela inakuhusu
Hahaa wewe jamaa una sifa ya kujidhibiti aisee mi ningekuwa naozea jela saivi. Maana sio kwa mitego ile
 
Back
Top Bottom