Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udugu unapenda kashikashi kwahiyo Madenge emu subiri kwanza, unajua coco nilimchamba mgauni wake wa harusi mbaya km wa kupokelea kipaimara akanitia padlock

Ngoja nipite kitaa hiko siku nyingi sijakatiza tutani napitwa na mengi
Jomoneeeee uduguu unapitwajeee tutanii naweee?? Bila heka hekaa naumwaaaa mwenzio

Ukujee twiraaaaa ujioneeeee visangaaaa mbna kumenogaaaaaaa, coco nae kwa kujishaua hajamboo mxxxxxiiieeeeew mie ndo maana namchambagaaa hana hamu na mie kabisaaa.

 
Jomoneeeee uduguu unapitwajeee tutanii naweee?? Bila heka hekaa naumwaaaa mwenzio

Ukujee twiraaaaa ujioneeeee visangaaaa mbna kumenogaaaaaaa, coco nae kwa kujishaua hajamboo mxxxxxiiieeeeew mie ndo maana namchambagaaa hana hamu na mie kabisaaa.

Mwenzenu alikuwa mjamwepesi mkamkanda na Hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂 nyuma raha
Unaendelea na mishe zako.
Ila inategemea na dereva, kuna madereva utataka kukaa mbele.
Nyuma unakuwa free sana
unacheka huko nyuma and do all sort of crazy stuffs 😂😂 .

mbele hapana aisee sipapendi kabisa .
sie wenye aibu ndo kabisa , iwe safari fupi labda .
 
Hawa viumbe

Wana mijishepu

Hatari na nusu

Mzee wa kupambania huku kunamfaa
emoji1787.png
🤣🤣🤣 Kuna zile totoz za kwa Madiba zinajiitaga Mzansi girls sio poa mkuu pisi zimesimamia ukucha na zinajiachia sio poa kule nitakufa kwa UKIMWI
 
Back
Top Bottom