cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Wee usinambieeeee??





Hebuu niendeee chapuuuuuu.
Wee usinambieeeee??





Umeshaona😂😂😂😂Wee usinambieeeee??
Hebuu niendeee chapuuuuuu.
Umeshaona
Kumbe kaka herode ni muhuni mwenzetu tu




jamani ila afadhari katutolea ahueni, kikatuni alizidii mnooo.niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.
Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.
Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.
pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii
![]()

emu subiri kwanza, unajua coco nilimchamba mgauni wake wa harusi mbaya km wa kupokelea kipaimara akanitia padlock 
😅😅😅 naona sasa utopolo mnajificha kwenye kivuli cha magoli ya Mayelecocastic mtrajejoooooooo sie💛💛💚 hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu 😂!!!
Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu 🕺hakuna mwingineer🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Herode kajua kumnyamazisha kikatuni saivi kawa mtulivu kama kuku aliyemwagiwa maji ya baridi hana tena swaga za kujimwambafaiUmeshaona😂😂😂😂
Kumbe kaka herode ni muhuni mwenzetu tu
Nikimaliza kuvuna mazao yangu shambani, nitakwenda kutalii kuleUende utembeelee hapo Babu
Yeah pazuri sanaNikimaliza kuvuna mazao yangu shambani, nitakwenda kutalii kule
Nitajitahidi kufika kote hukoYeah pazuri sana
kama hii Udzungwa mountain national park ..
Vyema sana BabuNitajitahidi kufika kote huko
Marahaba mjukuu, nimeamshwa mapema leo niwahi kuota jua la asubuhi. Wanasema wazee tunapaswa kupata Vitamin D kupitia jua la asubuhi 🤪Vyema sana Babu
habari ya siku kwako
na Shikamoo babu ..
hakika mnahitaji jua la asubuhi pia ukipata na maziwa hapo pemben siku inaenda safi snaMarahaba mjukuu, nimeamshwa mapema leo niwahi kuota jua la asubuhi. Wanasema wazee tunapaswa kupata Vitamin D kupitia jua la asubuhi 🤪
Uwe na siku njema pia
Nasemaaaajeeeeee nasemajee tunaenda vunja rekodiiiiiiii💪💪💪💪🕺💛💛💛💚😅😅😅 naona sasa utopolo mnajificha kwenye kivuli cha magoli ya Mayele
Hamwezi kupindua matokeo kwa Waarabu nasemaje hamuwezi niko pale nimekaa. Kule mnaenda kufa goli nyingi si chini ya nne
🤣🤣💛💛💛💚💚💪💪💪💪💪!shouzzzz hebu relaaaaaxxx kwani, kwa mpira gani mlonaooo wa kubadili matokeo kuleeeeee???
Thubutuuuuuuuuu
Thank you kipenziii!!Happy Born day mrembo 🎂 Antonnia mtoto mzuri, mwenye sura, shepu vyote ukabarikiwa wewe 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 kabla siku haijaisha, nikutakie furaha, amani, kipato kizidi 💪 my Gemini mate 😍😍😍😍😍😍😍😍
BL loves you 😘😘😘
Huyo putin ni chiziii kasorooJinga sana wewe![]()
Aamiiiin Aamiin boss is santroo sanaa!Happy Borthday Lishangazi
Uwe na umri mrefu zaidi boss lady
Santoo sana nywaniiiiihbd mnywani!!
Uishi miaka mingi yenye tija Kama Rais wetu mstaafu mzee Al Hassan mwinyi.
Mpokeaje zawadi ndo Bantu Lady eh?