Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.

Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.

Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.

pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii


Udugu unapenda kashikashi kwahiyo Madenge emu subiri kwanza, unajua coco nilimchamba mgauni wake wa harusi mbaya km wa kupokelea kipaimara akanitia padlock

Ngoja nipite kitaa hiko siku nyingi sijakatiza tutani napitwa na mengi
 
cocastic mtrajejoooooooo sie💛💛💚 hatuna habareeeeee tunajipanga tukabadili rekodii hukohuko kwa mbwa koko hao😁😁.. Sio kwa kuwewesekaaa hukuuuu 😂!!!

Mzee wa kupambania kiatu kinamuhuuu 🕺hakuna mwingineer🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
😅😅😅 naona sasa utopolo mnajificha kwenye kivuli cha magoli ya Mayele

Hamwezi kupindua matokeo kwa Waarabu nasemaje hamuwezi niko pale nimekaa. Kule mnaenda kufa goli nyingi si chini ya nne
 
Marahaba mjukuu, nimeamshwa mapema leo niwahi kuota jua la asubuhi. Wanasema wazee tunapaswa kupata Vitamin D kupitia jua la asubuhi 🤪

Uwe na siku njema pia
hakika mnahitaji jua la asubuhi pia ukipata na maziwa hapo pemben siku inaenda safi sna

nawe pia Babu, muwe na siku njema
 
Happy Born day mrembo 🎂 Antonnia mtoto mzuri, mwenye sura, shepu vyote ukabarikiwa wewe 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 kabla siku haijaisha, nikutakie furaha, amani, kipato kizidi 💪 my Gemini mate 😍😍😍😍😍😍😍😍
BL loves you 😘😘😘
Thank you kipenziii!!
Asantee kwa kekiiii

Tonniah loves you much more sweetheart 😘😘😘😘😘!!
 
20230530_080356.jpg
20230530_081026.jpg
 
Back
Top Bottom