sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Naomba uniite kablaNaked kama naked lol!! Nina jipya hataa... Ngoja badae ntawabless mkuu Usijareee kabesaaa!
Kapachino
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uniite kablaNaked kama naked lol!! Nina jipya hataa... Ngoja badae ntawabless mkuu Usijareee kabesaaa!
Mbona hamna parachichiNipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Udugu ulifungiwa kwa mdomo wakoMbona hamna parachichi
Usijareee lazima nikuiteee kwanza mzee wa hall 5!!
😂😂😂 udugu waliniwashaUdugu ulifungiwa kwa mdomo wako
Unajisiifia waty tumekupambania umetoka endelee tena uone 😂😂😂😂😂 udugu waliniwasha
Eti cha miezi miwili
Yesuuu ningewezea wapi mie
Ninyi mapacha mlifungiwa pamojanimelia sana jana😂
Uni tag ,nisipitweNaked kama naked lol!! Nina jipya hataa... Ngoja badae ntawabless mkuu Usijareee kabesaaa!
Usijareee mkuu!!Uni tag ,nisipitwe
Umetokea wapi we mtu🤣🤣🤣
Imekuaje umeachiliwa siku 2 akati ban ni ya miezi miwili??😂😂😂 udugu waliniwasha
Eti cha miezi miwili
Yesuuu ningewezea wapi mie
Weee 😂😂Umetokea wapi we mtu🤣🤣🤣
Nilikumisi jamani😔😍Weee 😂😂
Si unanijua venye navyojua kulia
Nimelia huko wee mpk nimeonewa huruma
Wee eti banned miezi miwili nyie jamani 😂😂😂😂😂nimelia sana jana😂
Miss u too bebe, uhali gani? Baridi ya jana vipi?Nilikumisi jamani😔😍