Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Chuo mnafungua lini?Kumbe unalifahamu, kuna samaki wanaitwa Nguruka nilidhani ndiyo wanatoka pale kumbe sivyo
Umewahi kula nguruka?
Chuo mnafungua lini?Kumbe unalifahamu, kuna samaki wanaitwa Nguruka nilidhani ndiyo wanatoka pale kumbe sivyo
Umewahi kula nguruka?
Wee Wigee mie kijebaaaa lol😊😊😊!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We're ideologically promiscuous, and loose canon!...
To put it in more simple terms, Tanzania is ramshackle kleptocracy.......
Uliadimika Mkuu, nikahisi labda Ndugu zake Sarafina kule kwa Madiba wamekuteka 😅Chuo mnafungua lini?
🤣🤣🤣🤣! Binafsi nilimiss sana hizi fujoo zakooo msukuma!!Chuo mnafungua lini?
Acha tuUliadimika Mkuu, nikahisi labda Ndugu zake Sarafina kule kwa Madiba wamekuteka
Unadhani kwa Uzee huu nitakuwa mwanafunzi? Saivi nimebaki kucheza na wajukuu tu![]()
Kuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu 🙌Acha tu
Wa kina khumbu ni shida
ndio nawajuaKumbe unalifahamu, kuna samaki wanaitwa Nguruka nilidhani ndiyo wanatoka pale kumbe sivyo 😅
Umewahi kula nguruka?
Umekwenda kununua Ufuta nini huko?Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Hapana babu uku ndiko chimbuko letu ila hapa galula ndipo mama yangu kazaliwa ila ifuko ndiko baba kazaliwa ni vijiji jirani sanaUmekwenda kununua Ufuta nini huko?
Mwenyewe nilikuwa huko mwezi uliopita
Shuka na pale Mjele ukiweza, wanachoma mbuzi watamu sana pale
Kuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbarindio nawajua
ukikaa Morogoro lazima uwale nguruka ..
bwawa lile linasaambaza tu maji moro mjini .
maisha ya Morogoro safi sana , vyakula vingi mno .
Kumbe ndiyo kwenu, hongera sana.Hapana babu uku ndiko chimbuko letu ila hapa galula ndipo mama yangu kazaliwa ila ifuko ndiko baba kazaliwa ni vijiji jirani sana
Hawa viumbeKuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu
Tulikuwa na Wazungu pia mule ndani, walimtolea udenda sana yule Msouth, na mwenyewe akawa anajiachia mara aende kule mara pale ili mradi Watu wakose utulivu.
Nikawaza na tukio lako la kupotelea Kwa Madiba nikahisi umeshatekwa tayari![]()

Jikaze kijana!😅Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Hahaha......... Mzee wa kupambania akienda kule ndiyo atalowea kabisa, hatatamani kurudi Bongo tena 😅
Wewe nakujua umaliz uonugali wewJikaze kijana!😅