Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah 😂 Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
Umekwenda kununua Ufuta nini huko?
Mwenyewe nilikuwa huko mwezi uliopita

Shuka na pale Mjele ukiweza, wanachoma mbuzi watamu sana pale
 
ndio nawajua
ukikaa Morogoro lazima uwale nguruka ..

bwawa lile linasaambaza tu maji moro mjini .

maisha ya Morogoro safi sana , vyakula vingi mno .
Kuna mwenyeji wangu alinionjesha hao nguruka siku moja, kutokea hapo nimekuwa mpenzi wa kula na kachumbari

Kuhusu vyakula, Morogoro wapo vizuri. Kuna hadi Magimbi kule, so delicious
 
Kuna siku nilikuwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tukisubiri usafiri, kuna Dada msouth aliingia pale amejaa mno kwa umbo la kibantu [emoji119]

Tulikuwa na Wazungu pia mule ndani, walimtolea udenda sana yule Msouth, na mwenyewe akawa anajiachia mara aende kule mara pale ili mradi Watu wakose utulivu.

Nikawaza na tukio lako la kupotelea Kwa Madiba nikahisi umeshatekwa tayari [emoji2957][emoji2957]
Hawa viumbe

Wana mijishepu

Hatari na nusu

Mzee wa kupambania huku kunamfaa[emoji1787]
 
Shangazi mwenye bday yake hapa mjini toto lenye minyama nyama kama yote toto tundu kitandani toto lenye shape yake Original umbo namba nane toto likitembea udenda unatutoka wanaume tajir mwenye nyumba yake kila mkoa Antonnia selfika basi au upo lodge unapewa upako
 
Back
Top Bottom