Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Vitoto vina mitego sana, wakati nimemaliza Form 6 nasubiri kwenda chuo nilikuwa napiga Tempo, yaani vitoto vilikuwa vinanipa majaribu sana.

Ukiwa na roho nyepesi, jela inakuhusu
Hahaa wewe jamaa una sifa ya kujidhibiti aisee mi ningekuwa naozea jela saivi. Maana sio kwa mitego ile
 
Twende wote babu G
JamiiForums-1144151357.jpg

Mwanasheria wangu anasema huu ni mtego ๐Ÿคช
 
Hahaa wewe jamaa una sifa ya kujizuia aisee mi ningekuwa naozea jela saivi. Maana sio kwa mitego ile
Wakati huo nilikuwa nina mwili mdogo dogo, kwahiyo madogo wakawa wanahisi kama wanaweza kunimudu vile kwahiyo ilifikia hatua wananiandikia na barua kwenye madaftari yao

Ukishindwa kujidhibiti, unaweza kuharibu kesho yako kwa utamu wa dakika chache ๐Ÿ˜…
 
Nyuma unakuwa free sana
unacheka huko nyuma and do all sort of crazy stuffs ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ .

mbele hapana aisee sipapendi kabisa .
sie wenye aibu ndo kabisa , iwe safari fupi labda .
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.

Indrive sikai mbele hata kdg ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom