Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaa wewe jamaa una sifa ya kujizuia aisee mi ningekuwa naozea jela saivi. Maana sio kwa mitego ile
Wakati huo nilikuwa nina mwili mdogo dogo, kwahiyo madogo wakawa wanahisi kama wanaweza kunimudu vile kwahiyo ilifikia hatua wananiandikia na barua kwenye madaftari yao

Ukishindwa kujidhibiti, unaweza kuharibu kesho yako kwa utamu wa dakika chache 😅
 
Nyuma unakuwa free sana
unacheka huko nyuma and do all sort of crazy stuffs 😂😂 .

mbele hapana aisee sipapendi kabisa .
sie wenye aibu ndo kabisa , iwe safari fupi labda .
😂😂 inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.

Indrive sikai mbele hata kdg 😂😂😂😂😂
 
😂😂 inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.

Indrive sikai mbele hata kdg 😂😂😂😂😂
eeh una uzoefu na magari
Indrive magari yao yakoje kwani ??
si hizi za mjapani au ??
 
😂😂😂 Ngoja Depal aone hili jibu lako.
Mwambie aseme ukweli alikuwa wapi asisingizie ban🏃🏃
Tulia 😂😂😂
IMG_6725.jpeg
 
Back
Top Bottom