Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#mood
Screenshot_20230529_170042_TubeMate.jpg
 
Ngoma huwa naikubali sanaa
Jamaa yupo vizuri sana kwenye aina ya mziki wake, Kwa mbali ana sikika kama Walter Chilambo and likes, ila nimegundua naye huenda ni Mnyaki wa Mbeya.

Kuna wimbo nimesikia mwishoni anaimba maneno ya Kinyaki.

Ikiwa Kwelibasi Mbeya itakuwa imeteka mziki wa Gospel ๐Ÿ™Œ
Tusishangae siku moja Saint Anne naye akawa anatuuzia Album zake za Gospel in future ๐Ÿ™Œ
 
Ukikuwa utaacha ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚! USM ALGER Katukaliajee kooni wana ๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’š utadhani tumemuharibia kitumbua chakee walai mbona tunaloooo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!
 
Back
Top Bottom