Maisha ni kama kioo, ukicheka kinacheka, ukinuna kinanuna. Unatakiwa ucheze na fursa😂Tutafute tu connection, kumbe maisha sio magumu hivi humu😂
Maisha ni kama kioo, ukicheka kinacheka, ukinuna kinanuna. Unatakiwa ucheze na fursa😂Tutafute tu connection, kumbe maisha sio magumu hivi humu😂
Ila weeeeee 🤣🤣🤣Nitakuharibu 🤣🤣
Clutch ndio nini bana🤣🤣Unakaa mbele na ukiulizwa clutch iko wapi hujui
Hahaa unarudi lini kwaniNikiwa mikoani ndio unaaanzisha safari why lakini
NakaziaaaaMaisha ni kama kioo, ukicheka kinacheka, ukinuna kinanuna. Unatakiwa ucheze na fursa😂
😂😂😂 Ngoja Depal aone hili jibu lako.Nakaziaaaa
Ni kuwaganda tu wenye connection zao mjini hapa
Hahahaha.............sisi tuliosoma enzi ya Mwalimu, tumekuwa tunatanguliza Uzalendo kwenye kila jambo, najua ungekuwa wewe lazima ungewaharibu mabinti zetu 🤪Form six ya mchongo
Eti una miaka 84
Zee la mchongo
Una balaa
eeh una uzoefu na magari😂😂 inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.
Indrive sikai mbele hata kdg 😂😂😂😂😂
Ilitakiwa ule ya mwaka kabisa 😂 connection aliyosea Lenie imekuokoa. Usifute hiyo namba
Kiasi.. lift za hapa na pale.eeh una uzoefu na magari
Indrive magari yao yakoje kwani ??
si hizi za mjapani au ??
Okay nimekupata aiseeKiasi.. lift za hapa na pale.
Indrive ni kama uber. Huku unavyopick ride unachagua na aina ya gari( utaziona hapo zitakuja na bei zao.
Hello Wige, niaje papito.Li zuri
Mambo
Lenie alikuwa kwa MkapaPole sana, jana mshamba_hachekwi alikuwa mkiwa sana, Lenie nae akamkimbia. 😅
Ndio tatizo hilo barabara zenu watu wa DarOkay nimekupata aisee
mimi nikikodi huwa nachukuaga IST ,passo basi tu na siku hizi napenda bajaji since inapenya kwa foleni