Okay nimekupata aiseeKiasi.. lift za hapa na pale.
Indrive ni kama uber. Huku unavyopick ride unachagua na aina ya gari( utaziona hapo zitakuja na bei zao.
Hello Wige, niaje papito.Li zuri
Mambo
Lenie alikuwa kwa MkapaPole sana, jana mshamba_hachekwi alikuwa mkiwa sana, Lenie nae akamkimbia. 😅
Ndio tatizo hilo barabara zenu watu wa DarOkay nimekupata aisee
mimi nikikodi huwa nachukuaga IST ,passo basi tu na siku hizi napenda bajaji since inapenya kwa foleni
Tulia 🤣🤣🤣Imekuaje umeachiliwa siku 2 akati ban ni ya miezi miwili??
Tusio na connection humu mbona tutajuta🙆🏾
Me nilikua nambembeleza huyo Depal maana alikua analia Sana baada ya kupigwa banPole sana, jana mshamba_hachekwi alikuwa mkiwa sana, Lenie nae akamkimbia. 😅
Sijapentaaaaa🤣🤣Tulia 🤣🤣🤣
Mtachakaa🤣🤣🤣🤣
yeah ndo shida hapo aiseeNdio tatizo hilo barabara zenu watu wa Dar
🤣🤣🤣🤣
Ngoja nimfate chemba anipatie na mie hiyo connection, maana hatujui ya kesho
Pambana, hope mwezi June itakuwa imefika. Kutembea umekaa kuna raha yake😂Halijafika bado
kiukweli usafir huwa unanichosha kutoka nyumbani hadi huko .
NakaziaPambana, hope mwezi June itakuwa imefika. Kutembea umekaa kuna raha yake😂