Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂 inategemea na gari
Vicruza vya ofisini sikaagi nyuma
Vx ukikaa nyuma kule utaumia kama dereva yuko rough safari ndefu.

Indrive sikai mbele hata kdg 😂😂😂😂😂
eeh una uzoefu na magari
Indrive magari yao yakoje kwani ??
si hizi za mjapani au ??
 
😂😂😂 Ngoja Depal aone hili jibu lako.
Mwambie aseme ukweli alikuwa wapi asisingizie ban🏃🏃
Tulia 😂😂😂
IMG_6725.jpeg
 
Kiasi.. lift za hapa na pale.

Indrive ni kama uber. Huku unavyopick ride unachagua na aina ya gari( utaziona hapo zitakuja na bei zao.
Okay nimekupata aisee

mimi nikikodi huwa nachukuaga IST ,passo basi tu na siku hizi napenda bajaji since inapenya kwa foleni
 
Back
Top Bottom