Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,112
Unaumwa? Muda wa kunyata bado.Nyumban kulala
Unaumwa? Muda wa kunyata bado.Nyumban kulala
Kibongo Bongo View attachment 1257862
Pampulaaaaaa!
Sasa ngosha nakufurahisha burebure kweli?
Ha ha ha ha aha mimi ni mchaga mkuu naijua miili ya mashangazi zangu si mchezo![]()
Wewe ni changamoto![]()
Ndio maana nimekwambia wewe ni changamoto.We andika pembeni...siku moja nakuandikia check
Ndio maana nimekwambia wewe ni changamoto.
Usijali Felly. Ni mambo ya kawaida. uko poa ?Ulivyoniita + hiyo pic na sehemu nilipo
ilibidi niweke simu kando
Ok.. Fanya kumharakisha Dear. Mwambie huku anahitajika sana.. and Missed her a lot.Yupo mamii ,atarudi yupo busy busy kidogo
Hiyo jumuiya yenu imejaa vibopa tuSadaka za leo!
Muweka hazinaView attachment 1257773
Nani na nani wanaitana majina ?Aiseee... mnaitaja majina tena
Si unajua sina utani kipande hiyo eeh?Hahah haya basi tuma nambari yako kwa majaliwa upate ya usumbufu
Ok.. Fanya kumharakisha Dear. Mwambie huku anahitajika sana.. and Missed her a lot.
Si unajua sina utani kipande hiyo eeh?