Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Aiseee... mnaitaja majina tena
Felister
wewe ni bank teller hapo ?
Felister
wewe ni bank teller hapo ?
HahahahahaUnanifaaa sana @sakayo
Hakika
We ulivyoamua kuwa kamodal ulitegemea nini? Tulipewa kulingana na miili yetu.
Nishangae tuu, Watu8 ameniambia niendelee kufyetua watoto nitanenepa.
Ila nina wasiwasi mimi ni mchaga nisije kunenepa tumbo na nyonyoz tuu![]()








Sirudi shee hadi unitumie hela.Hutaniwi loh... Rudi basi shee
Haha yule naye mtata khaaaHa ha ha ha hana yule mwenye jina la baba wa taifa.
Hapo sasa
Sasa uchaguzi umeisha kampeni ya nini tena et![]()



baada ya uchaguzi kuisha na kushinda ni kuonesha rangi zako halisi tuu.Sawa tuuNdio hivyo.
Anti vitenge vyako naacha Moshi




Duuh! Aisee nyie jamaa kwa kujifagilia hatuwawezi
Eti unavaa kiatu namba ngapi vile Baba P?Mwambie mdogo wako b.... akuleteee
Auntie naomba moja.
Na huyo panya yuko Moshi atavitafuna vyote. Nakuja kuvichukua mwenyewe mkwe.







Unajua vile sipendi upate shida right? Talk to me baby.we endelea tu!!