Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,061
Aiseee... mnaitaja majina tena
Felister
wewe ni bank teller hapo ?
Felister
wewe ni bank teller hapo ?
HahahahahaUnanifaaa sana @sakayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikonda naulizwa; nikinenepa naulizwa; na mimi sinaga jibu
Sasa kama hiyo ya monchwari inatisha hivo na bado sijakukataa, ni ipi inatisha zaidi itakayofanya nikukatae? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ulivyoamua kuwa kamodal ulitegemea nini? Tulipewa kulingana na miili yetu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nishangae tuu, Watu8 ameniambia niendelee kufyetua watoto nitanenepa.
Ila nina wasiwasi mimi ni mchaga nisije kunenepa tumbo na nyonyoz tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sirudi shee hadi unitumie hela.Hutaniwi loh... Rudi basi shee
[emoji23][emoji23]we endelea tu!!Whats wrong honey?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unasomea Tower za Manyoni now.
Haha yule naye mtata khaaaHa ha ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na yule mwenye jina la baba wa taifa.
Hapo sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]baada ya uchaguzi kuisha na kushinda ni kuonesha rangi zako halisi tuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa uchaguzi umeisha kampeni ya nini tena et[emoji134][emoji1745]
Sawa tuuNdio hivyo.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Anti vitenge vyako naacha Moshi
Duuh! Aisee nyie jamaa kwa kujifagilia hatuwawezi
Eti unavaa kiatu namba ngapi vile Baba P?Mwambie mdogo wako b.... akuleteee
Auntie naomba moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Na huyo panya yuko Moshi atavitafuna vyote. Nakuja kuvichukua mwenyewe mkwe.
Unajua vile sipendi upate shida right? Talk to me baby.[emoji23][emoji23]we endelea tu!!