Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Stress tuu tunazopata ni mazoezi tosha.wapi ndugu yangu
Hiyo hapo kwani huioni?
Cheka dearuwii utafanya niachike mimi jamani
Nimeshaanza kukipenda kitambi kiache.
Halafu shida sio kutoa kitambi shida ni pale uwanjani, wadada wana machuuuuuraaa makubwa, na wakija mazoezi wanakuwa wamevaa vi tight vimewachora sana wakati mimi huku hamna chura.
Sasa wewe kama unataka kitambi kiishe, nitakupa stress wiki tuu kitambi na hiyo miguu imeisha.![]()





JamaniMda wote nipo nayo nimeikumbatia.
Kuachwa kunauma.
Haiba iko kwenye michezoHehhehe wapi haiba leoooooo
Kaka shemeji naomba raba nami nikakate kitambi.Wale wazee wa kukataa vitambi tujuane
Stress tuu tunazopata ni mazoezi tosha.
nitaweka soon
Haiba iko kwenye michezo
We baba we!!!!Kifua![]()
Unaenda kutembea mjini na wanafunzi wako?




Sawa mwalimu wa haiba
Kwasababu gani? Ndo natoka shuleni hivyo.



mkuu itoe tu huko ulikoificha,, labda kama unataka akuambie yeye siyo mtoto mwenzio..
Atoto nadhani utaamini sasa nimeacha rasmi...View attachment 1257776