Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Niliidownload kwa sababu yako, nakutumia hata usipate tabu.Hvi mbona ile picha uliifuta. Hata sijaiona. Kule juu kabisa.
.
Nataka tuu nitimize ahadi zangu.Si unaona akili zako sasa![]()
Fimbo zako zitakuwa haziumiii kama za watu wembambaNdio maana nimehamia kwenye bakora.



Shindwaaaaa!Nataka tuu nitimize ahadi zangu.
Nigombeze bana mimi napenda.Basi sikugombezi tena.
UtaonaaaaShindwaaaaa!
Yupo, mara ya mwisho nilimuona na baba p wanashauriana wajifunze kupaka rangi za kucha ili wafaidi wadada




Napenda msosi jamani dah! Udenda huooo


Yupo, mara ya mwisho nilimuona na baba p wanashauriana wajifunze kupaka rangi za kucha ili wafaidi wadada![]()




