Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220918-191022_Spotify.jpg


Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Nilipita msimbazi,nikataka nipandie hapo.
Aisee nimeenda pale msimbazi A ambapo gari za Mbezi zinapakia,tukakata ticket,tukakaa kuusubiri gari .
Sasa gari imefika,Suma akazuia kupanda..akaingiza watu wake wachache pale akaruhusu gari liondoke.
Sasa tukauliza kwani hilo haliendi Mbezi??anasema niliwaambia watu wanienda Mbezi wakae mlangoni pale,nyie kwanini mlikaa kwenye vitu..Hapo ni saa 3 usiku na gari ndio zinaishia
Alooo😂😂😂,ukisikia Cha moto ndio kile yule kaka alikipata.
Sasa ulitaka tukae wapi?na kama gari hakuna kwanini mlitukatia ticket..akawa anajibu Kwa jeuri,
Kuna mama akawasha moto,tukaunga wote ..zodoa yule Suma.
Tukamwambia tusipopanda gari hapa tunakupeleka polisi Leo,usituchezee.
Akaanza ooh tulieni napiga simu gari like,kama hamtulii sipigi mkae hapahapa..tukamwambia tunawasomba wote ndani leo ukianzia wewe..hamuwezi mkachukua Hela zetu halafu mtukalishe hapa.
Yaani Hadi gari inafika watu wanamzodoa yule kaka pale.
Nilipita msimbazi,nikataka nipandie hapo.
Aisee nimeenda pale msimbazi A ambapo gari za Mbezi zinapakia,tukakata ticket,tukakaa kuusubiri gari .
Sasa gari imefika,Suma akazuia kupanda..akaingiza watu wake wachache pale akaruhusu gari liondoke.
Sasa tukauliza kwani hilo haliendi Mbezi??anasema niliwaambia watu wanienda Mbezi wakae mlangoni pale,nyie kwanini mlikaa kwenye vitu..Hapo ni saa 3 usiku na gari ndio zinaishia
Alooo😂😂😂,ukisikia Cha moto ndio kile yule kaka alikipata.
Sasa ulitaka tukae wapi?na kama gari hakuna kwanini mlitukatia ticket..akawa anajibu Kwa jeuri,
Kuna mama akawasha moto,tukaunga wote ..zodoa yule Suma.
Tukamwambia tusipopanda gari hapa tunakupeleka polisi Leo,usituchezee.
Akaanza ooh tulieni napiga simu gari like,kama hamtulii sipigi mkae hapahapa..tukamwambia tunawasomba wote ndani leo ukianzia wewe..hamuwezi mkachukua Hela zetu halafu mtukalishe hapa.
Yaani Hadi gari inafika watu wanamzodoa yule kaka pale.
haha mliwakomesha hao suma
pole kwa usumbufu sikujua mnapat shida hivyo
 
Muda mwingine nadhani, kitu bora unaweza fanya ni kukubali kuwa muhanga wa fikra kwa maslah mapana ya kimahusiano na mtu fulani ukizingatia asilimia kubwa ya watu hawaamini ktk uwezekano wa fikra tofauti juu ya suala ambalo wamekuwa wakilifikiri ktk namna fulani.

Kwao fikra tofauti ni ukosefu wa heshima, udharirishaji, ushindani, ujuaji n.k na huenda ikawa sio hivyo.
Lakini fikra tofauti zinaweza kuwa sahihi tofauti na kile kilichopo unajua kuna uhalisia alafu na ukweli


Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Atajua yeye mpk hapa asiponisamehe,baasi I'm goin to move on na siku atakayotamani kurudisha urafiki atakuta Sina mda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mungu yuko tayari na anasubiri kumsamehe mtu anaye omba msamaha imeandikwa Zaburi 86:5 "Kama wewe Bwana u mwema, umekuwa tayari kusamehe, na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitao".
 
Back
Top Bottom