AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
🤠🤠🤠 Si mnapenda misifa acha ziwanyooshe, wenzenu wenye crown engine oil hata wakiweka povu inakubali tu... tafuta pisi kali ihonge hiyo BM yako.. Naona gari za ulaya zisizo sumbua sana ni Audi na ni cheap kuzi maintain.. Hata mtoto wa chuo anaweza imuduWa BM wana stress. Umewahi ona dereva wa BM ana sura ya furaha? Gari kila ukitoka out next trip garage. Mafuta yapande bei bado spare, kha.
Nimepark natafuta mteja. Naipasha moto tu mara moja kwa week. Maisha yamegeuka.🤠🤠🤠 Si mnapenda misifa acha ziwanyooshe, wenzenu wenye crown engine oil hata wakiweka povu inakubali tu... tafuta pisi kali ihonge hiyo BM yako.. Naona gari za ulaya zisizo sumbua sana ni Audi na ni cheap kuzi maintain.. Hata mtoto wa chuo anaweza imudu
HahaaaaaaNipe namba ya MPesa nikutumie manake si Kwa sifa hizi![]()
🤠🤠🤠🤠 Kukubalina na mabadiriko sio kushindwa ni moja ya ushindi.. Umerudi na mtoto wa kipembaNimepark natafuta mteja. Naipasha moto tu mara moja kwa week. Maisha yamegeuka.
Nipo hapa,sema unahitaji lita ngapi?


Umenishinda tabiaNipo hapa,sema unahitaji lita ngapi?View attachment 2360568


ViwahiTwendeni kwa mkapa ngoja niwahi vigoma pale nje
SIMBA INACHEZA LEO TANZANIA NA AFRIKA NZIMA MPKA CAF WANAFURAHA![]()
Uhakika
Kanda ya ziwa itapendeza,maana mwenyewe ni mrefu,litaniepushia kuinama,kuumia kiunoUngependa jembe fupi kama la kimakonde au jembe refu kama la kanda ya ziwa?
Karibu shambani![]()

Hope umeenda kanisani leo
Unaogopa picha

Unaogopa
