Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

pole sana dear
ukiishi huko inabidi uzoee tu hali .
maana ndo palivyo
Acha tu.
Ukisema usubiri ukae utasubiri saa nzima upo kwenye foleni ya kukaa.

Utachagua, saa nzima Usimame kwenye foleni ya kupata seat ya kukaa au hiyo saa ukaning'nie na kutaabika na vikwapa vya watu ili ufike haraka.
 
duh balaa
route inayonisumbua asubuhi ni tegeta nyuki hadi kivukoni
magari yanajaza sana asubuhi unakuja kupata seat selander bridge au usipate kabisa .
Huku kwetu mwanzo mwisho hupati seat Mbezi kivukoni.
Au unapata seat posta za zamani,halafu kivukoni ndio ushuke.Mimi huwa sikai .
Ni kuomba Mungu tu wakati wa kusimama uwahi sehemu nzuri.. ukichelewa umekwisha.utanusa vikwapa ukome.
Kwahiyo unailia timing sehemu ya kusimama😂
 
Huku kwetu mwanzo mwisho hupati seat Mbezi kivukoni.
Au unapata seat posta za zamani,halafu kivukoni ndio ushuke.Mimi huwa sikai .
Ni kuomba Mungu tu wakati wa kusimama uwahi sehemu nzuri.. ukichelewa umekwisha.utanusa vikwapa ukome.
Kwahiyo unailia timing sehemu ya kusimana😂
duh huko mna changamoto jamani , sema naonaga mnapanga folenii kupata ticket .

hapo uwahi tu pakusimama , vikwapa sio poa na huko wanaume wanatabia ya kubambia wadada .
 
Ova shabiki yao 😡😡

PXL_20220918_130422137.PORTRAIT.jpg
 
duh huko mna changamoto jamani , sema naonaga mnapanga folenii kupata ticket .

hapo uwahi tu pakusimama , vikwapa sio poa na huko wanaume wanatabia ya kubambia wadada .
Bora akubambie mtu anayeoga.
Kuna wakaka wanajipenda wananukia,hata ukisimama naye hujutii.
Kuna siku nilisimama sehemu hakuna pa kushikilia..nikawa nayumba sana,kuna kaka akanivuta upande wake karibu na kwa kuegemea..akanipa space.
Nilimshikilia huku yeye ameshika sehemu ila alikuwa msafi huyo..Nilipenda 😂.

Linakubambia jitu linanuuka.. aiseee mimi huwa natoa barakoa navaa.
 
yani unafika huko hoi
upande express tu uwahi kufika
Ndio hizo express za Mbezi.
Ikitoka kule inasimama ,posta,halmashauri,kisutu,Fire na Manzese kupakia.
Halafu inaanza kushusha Stop over.

Sasa wale wa mwendokasi walivyo,Mpo pale kivukoni,gari imejaa na watu wamesimama..Badala iondoke ije ipakie fire,,inakaa pale kusubiri watu wa kusimama.

Sasa inakuwa abiria mpo kwenye foleni ya kusubiri gari ya kukaa,na wao gari ilishajaa na hawataki kuiondoa,wanasubiri watu wa kusimama .
Wapumbavu sana wale jamaa,kama mko humu mjirekebishe.

J2 hakuna Gari ya Mbezi moja kwa moja, kwahiyo Hadi upande jingine Kimara.
Pale kimara,unakuta gari imeshajaa na watu mmesimama,wao walivyo wapumbavu wa kutupwa, wapo chini wanapiga tu stori,nyie mmesimama tu humo ndani mnafukutwa na joto.
 
Back
Top Bottom