Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 19,006
Vp bado upo Dodoma au usharudi mtaani?Mbona nipo best
Vp bado upo Dodoma au usharudi mtaani?Mbona nipo best
Sitak undugu na mtoto wa Kikehaha
wewe ndugu yangu pia .
Embu tuone urefu wako maana humu Kuna kibinti kifupi kama remote ya dstvView attachment 2360541
Kwenu wadogo zangu shorties sharauti kwenu. Mimi Dada yenu mrefu nawasalimia sana. Jumapili njema
Ungependa jembe fupi kama la kimakonde au jembe refu kama la kanda ya ziwa? 🙊Nipitie nikakusaidie huko shamba..
Ww mzee sharobaro mwenye sheli mbezi unatutesa sisi vijanaUngependa jembe fupi kama la kimakonde au jembe refu kama la kanda ya ziwa?
Karibu shambani![]()
Tajir anaendesha NISSAN MURANO hzo Gari Tanzania zipo 10 tu suti imekaa mahala pake hyo suti Inapatikana Monaco France tu




Nipe namba ya MPesa nikutumie manake si Kwa sifa hizi 😂Tajir anaendesha NISSAN MURANO hzo Gari Tanzania zipo 10 tu suti imekaa mahala pake hyo suti Inapatikana Monaco France tu![]()
Boss mpesa wanatumia matajiri nitumie vocha ya halotel ya 2000 tu tajir pekee anayeikopesha CRDBNipe namba ya MPesa nikutumie manake si Kwa sifa hizi![]()




ok hayaSitak undugu na mtoto wa Kike
Is that RVR?? 🔥🔥🔥View attachment 2360545
Hello Sunday 🥂
Ikeda inamaliza nguvu za kiume mkuu.. 🤠🤠🤠..
🤣🤣 Tumepata kizingizio kipya mjini.. Ile kitu hauitaji perfume.. ova visabuni vya Eva..Ikeda inamaliza nguvu za kiume mkuu.. 🤠🤠🤠..
🤠🤠🤠🤠 Ukweli ni kwamba sijawa tumia ikeda, ila kwenye gari ya mpenzi wangu ipo.. Na huwa nikichukua gari naitoa, naweka kwenye buti.. Sipendi ikeda ina harufu kali sana.. Vijana wenye crown wanapiga sana kazi kuliko wa BMW..🤣🤣 Tumepata kizingizio kipya mjini.. Ile kitu hauitaji perfume.. ova visabuni vya Eva..
Kuna siku demu kaja mahala tulisema tukutane ananukia Ikeda afu ananiambia alikua bodaboda. Nikajua vijana wenye Crown washanisaidia uko.
Wa BM wana stress. Umewahi ona dereva wa BM ana sura ya furaha? Gari kila ukitoka out next trip garage. Mafuta yapande bei bado spare, kha.🤠🤠🤠🤠 Ukweli ni kwamba sijawa tumia ikeda, ila kwenye gari ya mpenzi wangu ipo.. Na huwa nikichukua gari naitoa, naweka kwenye buti.. Sipendi ikeda ina harufu kali sana.. Vijana wenye crown wanapiga sana kazi kuliko wa BMW..