Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Mnapenda kweli kutuletea nzi mezanišNdio ndio š nimewaachia nyie wakali wa hizo mambo mimi acha niendelee kunywa maji
Mnapenda kweli kutuletea nzi mezanišNdio ndio š nimewaachia nyie wakali wa hizo mambo mimi acha niendelee kunywa maji
hahaha umenichekesha AnneBora akubambie mtu anayeoga.
Kuna wakaka wanajipenda wananukia,hata ukisimama naye hujutii.
Kuna siku nilisimama sehemu hakuna pa kushikilia..nikawa nayumba sana,kuna kaka akanivuta upande wake karibu na kwa kuegemea..akanipa space.
Nilimshikilia huku yeye ameshika sehemu ila alikuwa msafi huyo..Nilipenda š.
Linakubambia jitu linanuuka.. aiseee mimi huwa natoa barakoa navaa.
duh pole sana jamani maana si maudhi hayo . wajirekibishe hao madereva .Ndio hizo express za Mbezi.
Ikitoka kule inasimama ,posta,halmashauri,kisutu,Fire na Manzese kupakia.
Halafu inaanza kushusha Stop over.
Sasa wale wa mwendokasi walivyo wapumbavu,Mpo pale kivukoni,gari imejaa na watu wamesimama..Badala iondoke ije ipakie fire,,inakaa pale kusubiri watu wa kusimama.
Sasa inakuwa abiria mpo kwenye foleni ya kusubiri gari ya kukaa,na wao gari ilishajaa na hawataki kuiondoa,wanasubiri watu wa kusimama .
Wapumbavu sana wale jamaa,kama mko humu mjirekebishe.
J2 hakuna Gari ya Mbezi moja kwa moja, kwahiyo Hadi upande jingine Kimara.
Pale kimara,unakuta gari imeshajaa na watu mmesimama,wao walivyo wapumbavu wa kutupwa, wapo chini wanapiga tu stori,nyie mmesimama tu humo ndani mnafukutwa na joto.
Sawasawa jiraniAnza japo na baiskeli jirani.
ndo michezo yao hiyo kubambia wadada hahha .Bora akubambie mtu anayeoga.
Kuna wakaka wanajipenda wananukia,hata ukisimama naye hujutii.
Kuna siku nilisimama sehemu hakuna pa kushikilia..nikawa nayumba sana,kuna kaka akanivuta upande wake karibu na kwa kuegemea..akanipa space.
Nilimshikilia huku yeye ameshika sehemu ila alikuwa msafi huyo..Nilipenda š.
Linakubambia jitu linanuuka.. aiseee mimi huwa natoa barakoa navaa.
Napiga Kura, Ni Mkuu wa Kaya.. Na kubwa zaidi...Vijana wa juzi,muwe mnatupa shkamoo Shangazi zenu.
Kilimanjaro pekeyake haitoshi..
Wale wanaopokea ticket ndio wapumbavu wa kiwango cha lami.duh pole sana jamani maana si maudhi hayo . wajirekibishe hao madereva .
Wewe kuomba hela ni lazima. Hela zenu ni tamu sana.Huyu ndyo mwanamke sasa afu anaonekana haombi hata hela
Hela ya mwanamke ndo tamuWewe kuomba hela ni lazima. Hela zenu ni tamu sana.
Ariririiii
šššeeh hao wanakera last week nilipanda hapo kivukoni , nampa buku anajifanya nimempa 650
hataki kunipa chenji .
bora wawaseme tu hao maanaa hawapo makini
haha , watu wenye hasira kališšš
Kuna siku tulimshambulia Suma..haji kutusahau.
Watu tumechoka ,yeye anakuja kutuletea stress zakeš¤£
Nilipita msimbazi,nikataka nipandie hapo.haha , watu wenye hasira kali
Huku mtaani mambo yanapelekwa kipumbavu tu na hakuna anayejali.Pole sana Mkuu.. So touching..
Unataka niwe Panya Road.Kilimanjaro pekeyake haitoshi..
Inatakiwa uchanganyie na bangi kwa mbaaali.